Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kule Tanga anya ina maana anataga kinyesiSipati picha ingekuwaje kama Profesa Uju Anya angeyasema haya kutoka chuo kikuu chetu .View attachment 2350952
Uongozi wa chuo kikuu cha Carnegie walivyomjibu Profesa Uju katika ukurasa wao wa Twitter.
View attachment 2350977
Angeandika kikwao badala ya kutumia lugha ya Malkia ambaye anamchukia,kuendelea kutumia lugha ya Malkia ni ishara kuwa angali anauthamini utawala wa kiingereza
Nani alikuambia kiingereza ni lugha ya Malkia? ni swa na kusema kiswahili ni lugha ya nyerere. Acha kujidhalilisha. Kiingereza ni lugha ya kimataifaAngeandika kikwao badala ya kutumia lugha ya Malkia ambaye anamchukia,kuendelea kutumia lugha ya Malkia ni ishara kuwa angali anauthamini utawala wa kiingereza
Hawa maprofesa weusi wanaojifanya wanachukia sana wazungu huku wakiwa nchi za wazungu na kujidai wanaipenda Africa huku wakiwa hawataki kuja Africa ni wanafiki sana wasioejielewa
Afadhali Malema anaponda wazungu lakini yeye anaishi Africa, haishi huko kwa Wazungu
Sawa, ila kale kachawi na ukoloni wake kametesa watu wengi sana in the bilionsUongozi wa chuo kikuu cha Carnegie walivyomjibu Profesa Uju katika ukurasa wao wa Twitter.
View attachment 2350977
Anayeonekana kwenye picha ni malkia elizabeth akiwatupia watu weusi chakula alafu inakuja minitu eti RIP may she rot in hellView attachment 2351306