Wanaongelea kumbukumbu mbaya za kihistoria pekee bila ku-appreciate mazuri ambayo beberu kayafanya hapa duniani kuleta mapinduzi ya kisayansi, kiteknolojia na kijamii kutoka jamii ya kipindi cha zama za giza ambapo hakukuwa na ustaarabu uliopo leo (uncivilized world dominated by barbarism).