technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Kwamba serikali nzima imeshindwa kugundua kwamba leo tukio kubwa ni Gemu ya simba na yanga.
Na kumpangia siku nyingine mwinyi? Yaani hatuna kabisa watu wa kushauri serikali kwanza mwinyi mwenyewe ni shabiki wa Yanga si mngempeleka tu uwanjani akazindua kitabu chake pale uwanjani.
Tena ulimwengu ungeona na watanzania wengi wangeona kila kitu ambacho kingefanyika..
Ila huu utoto uliofanyika kiukweli ni Aibu ya karne.
Hakika nawapongeza yanga kwa kutuonyesha utakiwi kufanya tu maamuzi unavyojisikia.
Na kama ningekuwa Rais wa nchi leo ningewafukuza kazi watu wote wanaofanya kazi wizara ya Michezo.
Hasara kiasi gani kwa watu waliokuwa wameenda uwanjani?
Waliosafiri je kutoka mbali?
Vibanda umiza je?
Billions of money!!!
View attachment 1777875
Na kumpangia siku nyingine mwinyi? Yaani hatuna kabisa watu wa kushauri serikali kwanza mwinyi mwenyewe ni shabiki wa Yanga si mngempeleka tu uwanjani akazindua kitabu chake pale uwanjani.
Tena ulimwengu ungeona na watanzania wengi wangeona kila kitu ambacho kingefanyika..
Ila huu utoto uliofanyika kiukweli ni Aibu ya karne.
Hakika nawapongeza yanga kwa kutuonyesha utakiwi kufanya tu maamuzi unavyojisikia.
Na kama ningekuwa Rais wa nchi leo ningewafukuza kazi watu wote wanaofanya kazi wizara ya Michezo.
Hasara kiasi gani kwa watu waliokuwa wameenda uwanjani?
Waliosafiri je kutoka mbali?
Vibanda umiza je?
Billions of money!!!
View attachment 1777875