Kauli ya Rais Samia na Musatakabali wa Jeshi la Polisi, TISS na Vyombo vingine vya Usalama

Kauli ya Rais Samia na Musatakabali wa Jeshi la Polisi, TISS na Vyombo vingine vya Usalama

ubongokid

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2017
Posts
2,154
Reaction score
4,184
Kwanza niseme wazi kabisa kwamba Naelewa na kuamini kwamba kauli ya Mheshimiwa RAIS iliakisi kile ambacho yeye kama Samia Suluhu Hassan anakiamini na anakifahamu ila hakikuakisi kile ambacho RAIS anafahamu. Sisemi hivi kwa lengo la kumtetea bali nataka tu niaze mjadala huu katika namna ambayo ataakisi kile ambacho ninataka kusema.

Napenda sote tufahamu kwamba kuna Samia Suluhu as a person na Kuna Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. URAIS ama RAIS ni taasisi ambayo msimamizi wake Mkuu ni Mtu ambaye anaitwa Samia Suluhu Hassan.

Mtu huyu anao wajibu wa kikatiba na kimaadili wa kusimamia Taasisi ya URAIS na taasisi zote ambazo zinawajibika chini ya mamlaka ya URAIS. Hivyo basi anapotia Kauli yake kama Samia Suluhu Hassan anatakiwa atambue kwamba UHURU huo hana. Yeye kama RAIS kauli yake inawakilisha taasisi ya URAIS na bila kujali mtazamo wake ni lazima kauli yake ipimwe kwa mizania ya URAIS.

Swali la kujiuliza JE, SAMIA SULUHU HASSAN anawafahamu ambao wanafanya matukio haya ya utekaji na uuaji wa watu? Jibu rahisi la swali hili ni kwamba yeye kama Samia Suluhu hawafamu Ila yeye kama Taasisi ya URAIS huenda anawafahamu na Kama Taasisi ya Urais haiwafahamu wanaofanya matendo haya basi Taaisi bado inao uwezo wa kuwafahamu watu bila shida wala shaka yoyte ile.

Jambo lingine ambalo nataka sasa nileweke sawa ni kuhus athari za kauli ya Samia kwa Vyombo vya Ulinzi na Usalama. Katika Tasnia ya Serikali, uongozi na uwajibikaji kuna kitu kinaitwa IMPUNITY-Ile hali ya mtu kutokuwajibishwa anapofanya makosa.

Kauil ya Mheshimiwa Dr. Samia ama kwa kukusudia au kutokusudia imeweka mazingira ya Vyombo vya ulinzi na Usalama kuwa na impunity. Madhara yake tumeanza kuyaina ikiwamo ni wananchi kukosa imani na vyombo vya ulinzi na usalama.

Madhara yake yatachukua muda sana kubadilika. Kwani sasa hivi vyombo vya Ulinzi na Usalama vinatazmwa kama Genge la Wahalifu. Jambo hili ni baya sana hasa tunapoelekea kwenye Uchaguzi Mkuu maana kuna uwezekano mkubwa sana Vyombo vya Ulinzi na Usalama vikawa Targeted kwa sababu tu ya wananchi kukosa imani nao pamoja na serikali wanayoiwakilisha.

Nina mambo mengi sana ambayo ninaweza kumshauri Mheshimiwa RAIS kama Taasisi ili ayafanye mapema ili kutuliza hali ya mambo. Ila kwa sasa Ushauri wangu ni rahisi tu. Clean The House.

Soma Pia: Rais Samia: Mauaji ya Kibao hayakubaliki. Uchunguzi umeanzishwa
 
Usimpakepake mafuta kwa mgongo wa chupa. Huyu mama ni Jezebel kachagua kuwa upande wa wauaji dhidi ya wananchi anaojidai kuwaongoza.....

Hivyo, hata yeye automatic ni muuaji tu asiyestahili kuishi pia, period...!

Ni nadra sana kupata mwanamke kiongozi ktk ngazi ya u - Rais katili na muuaji ktk zama hizi ila Tanganyika ni wazi kuwa tumeuvaa mkenge kwa kuwa tuna huyu Jezebel wa Tanganyika mwenye jina la Samia Suluhu Hassan....

Unamfahamu mwanamke Jezebel wa kwenye Biblia? Alikuwa mke wa Mfalme Ahabu. Alikuwa mchawi na muuaji wa kutisha aliyetwaa mamlaka ya kifalme ya mumewe Ahabu (Mfalme halisi) kwa njia za kichawi na yeye kuwa na maamuzi ktk ufalme wa Israel by then...

Alianza kuyatumia mamlaka hayo ya kifalme kuua wapinzani wa ufalme wa Ahabu vigorously hadi aliponasa kwa Nabii Eliya. Huyu mama Jezebel alikufa kifo kibaya kwa maiti yake kutupwa na kuliwa na kunguru...

(Atakaye kupata ufahamu zaidi, basi asome kisa hiki kilichorekodiwa katika Biblia katika kitabu cha Wafalme wa kwanza, sura ya 18 & 19)

Huyu Jezebel wetu anastahili haya akiendelea kubeba roho yake hii mbaya ya mauaji....

Na tatizo linaanzia katika marekebisho ya sheria ya Idara ya Usalama wa Taifa ya mwaka 2023 vifungu vya 3, 5(2) na 19(1) ambayo ilipelekwa bungeni mwaka Jana 2023 na kufanyiwa marekebisho na Wabunge wana CCM wenzake na yeye kuisaini na matokeo yake ndiyo haya, kuzaliwa kwa kundi la ugaidi/ujambazi wa kidola linaloteka, kutesa na kuua watu kwa amri ya viongozi wa serikali akiwemo yeye Rais Samia Suluhu Hassan....

Yote hii ni matokeo ya tamaa ya madaraka. CCM inataka kubaki madarakani kwa gharama yoyote ikiwemo damu za watu...

CCM kwenye sanduku la kura kupitia uchaguzi huru na wa haki haiwezi kushinda....

CCM inatambua kuwa haikubaliki, ilishakataliwa na watu na sasa inatumia kafara ya damu za watu kudhani watabaki madarakani zaidi na zaidi...

Washenzi kabisa hawa. Na wao this time lazima wafe na huyu mama yao (Samia) na yeye lazima amfuate mwasisi wa ujinga na upumbavu huu John P. Magufuli huko huko aliko, mavumbini. Nakuhakikishia, kwa mwenendo huu na akiendelea kunywa damu za watu, Samia Suluhu Hassan ATAKUFA HAKIKA na taifa hili lijiandae kuzika Rais mwingine....

Haiwezekani wewe uue halafu ubaki salama. Auae kwa upanga, naye vivyo hivyo atakufa kwa upanga... Bi. Samia atakufa kwa upanga..!
 
Nina mambo mengi sana ambayo ninaweza kumshauri Mheshimiwa RAIS kama Taasisi ili ayafanye mapema ili kutuliza hali ya mambo. Ila kwa sasa Ushauri wangu ni rahisi tu. Clean The House.

Soma Pia: Rais Samia: Mauaji ya Kibao hayakubaliki. Uchunguzi umeanzishwa
Mi nadhani ungeanza kumshauri yeye kama msimamizi mkuu wa taasisiya URAIS kwa mambo ambayo anayaamini na kuyafahamu kuhusu taasisi anayoisimamia ingawa kuna mengine hayafahamu na anapoongea anaingiza hisia zake na maneno yake binafsi akijua anaongea kama anayafahamu yote yanayohusiana na taasisi anayoisimamia. Hili tunaweza kuliona tukilinganisha alichokiongea yeye kama rais siku ya maazimisho ya miaka 60 ya jeshi la Polisi na taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya habari Ikulu kuhusu hotuba aliyotoa, ni vitu viwili tofauti.
Alafu tuje hapo nilipokuquote mkuu wangu🙏
 
Ni watu ambao wanafanyakazi kwa mujibu wa tabia zao.
Kitu ambacho hiki hakitakiwi. Tumeona katika baadhi ya tawala hiki kikifanyika na hata washauri wa ofisi kuu, wazee wastaafu wa nafasi kubwa kiuongozi wakishindwa kukemea hili, ingawa wapo baadhi waliojaribu na responses zikawa against them wakakaa kimya na kuacha mambo yajiendee. Hii inajenga misingi mingine tofauti kabisa ya kiutawala, kiufupi tunajenga misingi ya KINGSHIP kitu ambacho ni tofauti na watanzania tulivyozoea au kutaka.
 
Kwanza niseme wazi kabisa kwamba Naelewa na kuamini kwamba kauli ya Mheshimiwa RAIS iliakisi kile ambacho yeye kama Samia Suluhu Hassan anakiamini na anakifahamu ila hakikuakisi kile ambacho RAIS anafahamu. Sisemi hivi kwa lengo la kumtetea bali nataka tu niaze mjadala huu katika namna ambayo ataakisi kile ambacho ninataka kusema.

Napenda sote tufahamu kwamba kuna Samia Suluhu as a person na Kuna Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. URAIS ama RAIS ni taasisi ambayo msimamizi wake Mkuu ni Mtu ambaye anaitwa Samia Suluhu Hassan.

Mtu huyu anao wajibu wa kikatiba na kimaadili wa kusimamia Taasisi ya URAIS na taasisi zote ambazo zinawajibika chini ya mamlaka ya URAIS. Hivyo basi anapotia Kauli yake kama Samia Suluhu Hassan anatakiwa atambue kwamba UHURU huo hana. Yeye kama RAIS kauli yake inawakilisha taasisi ya URAIS na bila kujali mtazamo wake ni lazima kauli yake ipimwe kwa mizania ya URAIS.

Swali la kujiuliza JE, SAMIA SULUHU HASSAN anawafahamu ambao wanafanya matukio haya ya utekaji na uuaji wa watu? Jibu rahisi la swali hili ni kwamba yeye kama Samia Suluhu hawafamu Ila yeye kama Taasisi ya URAIS huenda anawafahamu na Kama Taasisi ya Urais haiwafahamu wanaofanya matendo haya basi Taaisi bado inao uwezo wa kuwafahamu watu bila shida wala shaka yoyte ile.

Jambo lingine ambalo nataka sasa nileweke sawa ni kuhus athari za kauli ya Samia kwa Vyombo vya Ulinzi na Usalama. Katika Tasnia ya Serikali, uongozi na uwajibikaji kuna kitu kinaitwa IMPUNITY-Ile hali ya mtu kutokuwajibishwa anapofanya makosa.

Kauil ya Mheshimiwa Dr. Samia ama kwa kukusudia au kutokusudia imeweka mazingira ya Vyombo vya ulinzi na Usalama kuwa na impunity. Madhara yake tumeanza kuyaina ikiwamo ni wananchi kukosa imani na vyombo vya ulinzi na usalama.

Madhara yake yatachukua muda sana kubadilika. Kwani sasa hivi vyombo vya Ulinzi na Usalama vinatazmwa kama Genge la Wahalifu. Jambo hili ni baya sana hasa tunapoelekea kwenye Uchaguzi Mkuu maana kuna uwezekano mkubwa sana Vyombo vya Ulinzi na Usalama vikawa Targeted kwa sababu tu ya wananchi kukosa imani nao pamoja na serikali wanayoiwakilisha.

Nina mambo mengi sana ambayo ninaweza kumshauri Mheshimiwa RAIS kama Taasisi ili ayafanye mapema ili kutuliza hali ya mambo. Ila kwa sasa Ushauri wangu ni rahisi tu. Clean The House.

Soma Pia: Rais Samia: Mauaji ya Kibao hayakubaliki. Uchunguzi umeanzishwa
Mkuu umeandika kwa kuumauma sana maneno na sielewi why!

Au hauelewi hata kidogo namna taasisi uliyoiongelea hapa inavyofanya kazi kiuwajibikaji?

Rais kafungamanishwa na uJemedari mkuu wa Majeshi na paramilitaries zote unazozijua na usizozijua nchini hapa kikatiba, lazima wote hao waripoti kwake.

Muundo na mfumo wa majeshi anayoyasimamia umekaa kwa mchoro wa piramid, toka juu kuwa mmoja na kusambaa kwa kuongezeka kwenda chini hadi kwenye base.

Sasa basi ripoti zote, kutoka taasisi zote hizo, huandikwa kuelekezwa juu(kwake),kwa hiyo kiuwajibikaji lazima alifahamu jina la mhusika/wahusika wa mauaji.

Kama ana mashaka ya ripoti ya aina yoyote, ana uwezo wa kufanya kama alivyokuwa akifanya mtangulizi wake Magufuli wa kumwaga tume hata 5 kufuatilia jambo moja ili kuupata ukweli usiotia shaka.

Hotuba aliyoitoa baada ya mauaji ya Ally Kibao kusema kuunda tume, hizo ni itifaki za kiSerikali lakini yeye kama yeye lazima awe alikwishamfahamu muuaji kwa kuagiza yeye ama kwa kuagizwa na viongozi wengine.

Nilitaka kuliweka sawa hilo ili usije kudhani kuwa yeye Rais haelewi, au anazungukwa, ama hajaelezwa kuwa wahusika ni kina nani, hapana yeye binafsi wauaji anawafahamu.

Huko kwingine ninaungana na mawazo yako.
 
Back
Top Bottom