OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Tutamtoaje?"Viongozi wa timu wasiishie tu kulaumu kua Ligi ngumu na haina mdhamini wakati walikua wanacheza Ligi daraja la pili na la kwanza ambazo zilikua hazina wadhamini na hawakulaumu. Wamekuja Ligi Kuu wanaanza kulaumu." .
.
Rais wa TFF, Wallace Karia
Wanamichezo huyu hatufai,wakati wa kumtoa ni sasa
Ashapata kitambi anajimwambafy, NA mwisho wa siku atasema siyo lazima ligi kuu yetu iwe na zawadi [emoji23] [emoji23]"Viongozi wa timu wasiishie tu kulaumu kua Ligi ngumu na haina mdhamini wakati walikua wanacheza Ligi daraja la pili na la kwanza ambazo zilikua hazina wadhamini na hawakulaumu. Wamekuja Ligi Kuu wanaanza kulaumu." .
.
Rais wa TFF, Wallace Karia
Wanamichezo huyu hatufai,wakati wa kumtoa ni sasa
Tatizo TFF wao wapo kuibeba Simba."Viongozi wa timu wasiishie tu kulaumu kua Ligi ngumu na haina mdhamini wakati walikua wanacheza Ligi daraja la pili na la kwanza ambazo zilikua hazina wadhamini na hawakulaumu. Wamekuja Ligi Kuu wanaanza kulaumu." .
.
Rais wa TFF, Wallace Karia
Wanamichezo huyu hatufai,wakati wa kumtoa ni sasa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Tatizo TFF wao wapo kuibeba Simba.
Kwakuwa Simba wapo vizuri kifedha,hakuna haja ya mdhamini ili kuirahisishia Simba ubingwa
Karia ni punguani kabisa. Eti kwa kuwa timu haikuwa na udhamini daraja la kwanza, hakuna cha ajabu kukosa udhamini TPL."Viongozi wa timu wasiishie tu kulaumu kua Ligi ngumu na haina mdhamini wakati walikua wanacheza Ligi daraja la pili na la kwanza ambazo zilikua hazina wadhamini na hawakulaumu. Wamekuja Ligi Kuu wanaanza kulaumu." .
.
Rais wa TFF, Wallace Karia
Wanamichezo huyu hatufai,wakati wa kumtoa ni sasa
Tumpe kesi ya kutakatisha fedha.Tutamtoaje?
Hapo ni kumsubiri tu amalize muda wake
Wasomali ni tatizo... Uzalendo utumike kumtoa huyu MTU, ana cha kupoteza na soka letu...."Viongozi wa timu wasiishie tu kulaumu kua Ligi ngumu na haina mdhamini wakati walikua wanacheza Ligi daraja la pili na la kwanza ambazo zilikua hazina wadhamini na hawakulaumu. Wamekuja Ligi Kuu wanaanza kulaumu." .
.
Rais wa TFF, Wallace Karia
Wanamichezo huyu hatufai,wakati wa kumtoa ni sasa
Au arogwe atiwe uchizi...akawe msukule wa Gwajima...pumbavu kabisaTumpe kesi ya kutakatisha fedha.
Tufanye mpango arudi tena.Uongozi TFF ulikuwa wa Tenga . tutammis sana Tenga . huyu karia ni boya tu
Na DED wengi ni Ma DEAD persons.Fikiria huyu alikuwa mkurugenzi DED. CCM ni CCM tu