Kauli ya Rais TFF kuhusu ligi kuu kukosa udhamini si ya kiuongozi

Kauli ya Rais TFF kuhusu ligi kuu kukosa udhamini si ya kiuongozi

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
"Viongozi wa timu wasiishie tu kulaumu kua Ligi ngumu na haina mdhamini wakati walikua wanacheza Ligi daraja la pili na la kwanza ambazo zilikua hazina wadhamini na hawakulaumu. Wamekuja Ligi Kuu wanaanza kulaumu." .
.
Rais wa TFF, Wallace Karia

Wanamichezo huyu hatufai,wakati wa kumtoa ni sasa
 
"Viongozi wa timu wasiishie tu kulaumu kua Ligi ngumu na haina mdhamini wakati walikua wanacheza Ligi daraja la pili na la kwanza ambazo zilikua hazina wadhamini na hawakulaumu. Wamekuja Ligi Kuu wanaanza kulaumu." .
.
Rais wa TFF, Wallace Karia
Wanamichezo huyu hatufai,wakati wa kumtoa ni sasa
Tutamtoaje?
Hapo ni kumsubiri tu amalize muda wake
 
Huyo jamaa ameigeuza tff sacos ya familia
Nafikiri huo mtumbo wake unapunguza uwezo wa kufikiri
 
"Viongozi wa timu wasiishie tu kulaumu kua Ligi ngumu na haina mdhamini wakati walikua wanacheza Ligi daraja la pili na la kwanza ambazo zilikua hazina wadhamini na hawakulaumu. Wamekuja Ligi Kuu wanaanza kulaumu." .
.
Rais wa TFF, Wallace Karia

Wanamichezo huyu hatufai,wakati wa kumtoa ni sasa
Ashapata kitambi anajimwambafy, NA mwisho wa siku atasema siyo lazima ligi kuu yetu iwe na zawadi [emoji23] [emoji23]
 
Soka letu lina Safari ndefu na ngumu Sana!
 
"Viongozi wa timu wasiishie tu kulaumu kua Ligi ngumu na haina mdhamini wakati walikua wanacheza Ligi daraja la pili na la kwanza ambazo zilikua hazina wadhamini na hawakulaumu. Wamekuja Ligi Kuu wanaanza kulaumu." .
.
Rais wa TFF, Wallace Karia

Wanamichezo huyu hatufai,wakati wa kumtoa ni sasa
Tatizo TFF wao wapo kuibeba Simba.
Kwakuwa Simba wapo vizuri kifedha,hakuna haja ya mdhamini ili kuirahisishia Simba ubingwa
 
Huyo jamaa neno rais kwake anajiona kama vile nae amekuwa Mkuu wa nchi, ipo haja cheo au jina la M/kiti lingerudishwa pale TFF. Halafu amekaa kimajungumajungu sana huyu jamaa
 
"Viongozi wa timu wasiishie tu kulaumu kua Ligi ngumu na haina mdhamini wakati walikua wanacheza Ligi daraja la pili na la kwanza ambazo zilikua hazina wadhamini na hawakulaumu. Wamekuja Ligi Kuu wanaanza kulaumu." .
.
Rais wa TFF, Wallace Karia

Wanamichezo huyu hatufai,wakati wa kumtoa ni sasa
Karia ni punguani kabisa. Eti kwa kuwa timu haikuwa na udhamini daraja la kwanza, hakuna cha ajabu kukosa udhamini TPL.

Bado anataka timu ziwe nyingi TPL lakini ziondolewe kwa kukosa sifa za licencing. Huyo Msomali arudishwe Mogadishu haraka.
 
Kwenye ma bar na vibanda umiza siku Tpl ikiwa inachezwa hakutoshi ila league haina sponsor! Wahusika wajitafakari
 
"Viongozi wa timu wasiishie tu kulaumu kua Ligi ngumu na haina mdhamini wakati walikua wanacheza Ligi daraja la pili na la kwanza ambazo zilikua hazina wadhamini na hawakulaumu. Wamekuja Ligi Kuu wanaanza kulaumu." .
.
Rais wa TFF, Wallace Karia

Wanamichezo huyu hatufai,wakati wa kumtoa ni sasa
Wasomali ni tatizo... Uzalendo utumike kumtoa huyu MTU, ana cha kupoteza na soka letu....
 
Kada wa CCM unategemea atakua na uelewa gani sasa.
 
Back
Top Bottom