OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
"Viongozi wa timu wasiishie tu kulaumu kua Ligi ngumu na haina mdhamini wakati walikua wanacheza Ligi daraja la pili na la kwanza ambazo zilikua hazina wadhamini na hawakulaumu. Wamekuja Ligi Kuu wanaanza kulaumu." .
.
Rais wa TFF, Wallace Karia
Wanamichezo huyu hatufai,wakati wa kumtoa ni sasa
.
Rais wa TFF, Wallace Karia
Wanamichezo huyu hatufai,wakati wa kumtoa ni sasa