Gwamaka Charles
Member
- Mar 14, 2013
- 17
- 1
Hivi huwa mnasoma thread zilizotangulia au mnakurupuka tu bila kuchamba na kuanzisha thread kwa kutumia visimu vyenu vya mchina?
Mnatujazia server bila sababu, thread iko hapa tangu asubuhi wewe saa hizi unatuletea ushuzi tu.
kuuliza co ujinga hivi jide kuna kipindi aliuza maji eee kama kumbukumbu zangu ziko sawa! brand name ........wat?!Jamani ambaye alisikia kuhusu hilo suala atujuze basi!
Pengine hakua na taarifa kua leo kulikua na majibizano/majibu ya ruge na jide
kuuliza co ujinga hivi jide kuna kipindi aliuza maji eee kama kumbukumbu zangu ziko sawa! brand name ........wat?!
nimefurahishwa na jinsi ulivyoriripot tukio,sikupenda kuhadithiwa nilipenda kumskia ruge