Full charge
JF-Expert Member
- Mar 1, 2018
- 1,678
- 1,617
Mtaji wako n kijambio tuu 🤝Pesa HAITAFUTWI.... INATEGWA.
Pesa zipo tu zimejaa kwenye mifuko ya wajinga, unatakiwa kuzivuta tu na sio KUZITAFUTA. Unatafutaje kitu ambacho kipo? ARE YOU CRAZY? ARE YOU BICHWA KOMWE?
UKITAFUTA PESA lazima uchoke kama MBWA KOKO utaishia kuokota vimia mbili.
Lakini UKIITEGA PESA utaona jinsi inavyotiririka tu kama maji ya DAWASCO.
Muulizeni BICHWA KOMWE awaambie kama pesa INATAFUTWA au INATEGWA.
Cc: BICHWA KOMWE - Poor Brain Mbaga Jr Lloyd Munroe
Afu baby umenisusa sana whyMtaji wako n kijambio tuu 🤝
Ungekuwa tajiri namba moja dunianiPesa HAITAFUTWI.... INATEGWA.
Pesa zipo tu zimejaa kwenye mifuko ya wajinga, unatakiwa kuzivuta tu na sio KUZITAFUTA. Unatafutaje kitu ambacho kipo? ARE YOU CRAZY? ARE YOU BICHWA KOMWE?
UKITAFUTA PESA lazima uchoke kama MBWA KOKO utaishia kuokota vimia mbili.
Lakini UKIITEGA PESA utaona jinsi inavyotiririka tu kama maji ya DAWASCO.
Muulizeni BICHWA KOMWE awaambie kama pesa INATAFUTWA au INATEGWA.
Cc: BICHWA KOMWE - Poor Brain Mbaga Jr Lloyd Munroe
Kwahyo msukumio wa chapati halali yake?Mtaji wako n kijambio tuu 🤝
Dah hapo sijui kwa kweli, unaweza kukuta kijambio chake kina matumizi tofauti tofautiKwahyo msukumio wa chapati halali yake?
Na waajiriwa tukatege pesa auPesa HAITAFUTWI.... INATEGWA.
Pesa zipo tu zimejaa kwenye mifuko ya wajinga, unatakiwa kuzivuta tu na sio KUZITAFUTA. Unatafutaje kitu ambacho kipo? ARE YOU CRAZY? ARE YOU BICHWA KOMWE?
UKITAFUTA PESA lazima uchoke kama MBWA KOKO utaishia kuokota vimia mbili.
Lakini UKIITEGA PESA utaona jinsi inavyotiririka tu kama maji ya DAWASCO.
Muulizeni BICHWA KOMWE awaambie kama pesa INATAFUTWA au INATEGWA.
Cc: BICHWA KOMWE - Poor Brain Mbaga Jr Lloyd Munroe
napenda sana msukumio wa chapatDah hapo sijui kwa kweli, unaweza kukuta kijambio chake kina matumizi tofauti tofauti