Kwa jinsi alivyozungumza Tulia (NS) jana wakati wa kuapishwa viongozi/Mawaziri wapya ni dhahiri shahiri kuwa aliandaliwa makusudi kuongea vile baada ya kuhakikishiwa nafasi ya "Mzee wa nina file milembe mimi"'.
Ili halina shaka kabisa na ni wazi, ndio maana badala ya Tulia kuzungumzia yanayohusiana na tukio la jana yeye alijikita zaidi katika kuupotosha uma juu ya mamlaka aliyonayo Rais unapolinganisha na ile mihimili mingine miwili yaani Bunge na Mahakama....akubumshwe tu kuwa kuna msemo walinena Wahenga kuwa ukiona mwenzako ananyolewa basi na wewe tia maji.
Asipopewa uspika Tulia naacha kuandika Jamii kuanzia leo.
Ili halina shaka kabisa na ni wazi, ndio maana badala ya Tulia kuzungumzia yanayohusiana na tukio la jana yeye alijikita zaidi katika kuupotosha uma juu ya mamlaka aliyonayo Rais unapolinganisha na ile mihimili mingine miwili yaani Bunge na Mahakama....akubumshwe tu kuwa kuna msemo walinena Wahenga kuwa ukiona mwenzako ananyolewa basi na wewe tia maji.
Asipopewa uspika Tulia naacha kuandika Jamii kuanzia leo.