Haji manara kaharibu sana mpira , usemaji wa mpira umekuwa wa ovyo sana ndio maana hawa akina kamwe na mwenzie ahmed wamekuwa wakiongea ujinga ,matusi, non fact etc...mimi hakuna siku ntafungua clip au etc nimsikie kamwe au Ahmed..mimi ni mshabiki wa simba lakini hakuna mtu ananivutia na napenda kumsikia kwenye mpira wa Tanzania kama Eng hersi..jamaa ana nidhamu sana ya kuongea..
Anapozungumza ujinga lazima aambiweKumbe we jamaa ni mtu wa mpira haswa ,nimekujua km mtu unayeipenda sana yanga ila Leo untetea mtu wa Simba ,hakika we jamaa una utu sana .
Ifike hatua kwenye utu wa mtu ushabiki wetu ukae pembeni,hata msemaji wa Simba ana kimdomo sana bila kumsahau manara hata kipindi yupo Simba sijawah mkubali Wala kumwelewa .
Kipindi yupo Simba nilikua nampiga sana spana za wazwaz huko IG Hadi aliniblock mazima had Leo.
Kuna maisha baada ya mpira huyo dogo Kwa hiyo kauli kqzingua sana
Leo nakuunga mkono NALIA NGWENA ..Unashupaza shingo kutetea ujinga
Sasa Kama siyo kocha Mgunda mbona kaomba radhi au kamuomba manara.
[emoji123] kwenye haki tuzungumze tu siyo Kila kitu tunaleta ushabiki.Leo nakuunga mkono NALIA NGWENA ..