kauli ya udhadhalilishaji dhidi ya kocha Mgunda nitafurahi sana endapo Ally kamwe atawajibishwa na Bodi ya ligi ili iwe fundisho kwa wengine.

kauli ya udhadhalilishaji dhidi ya kocha Mgunda nitafurahi sana endapo Ally kamwe atawajibishwa na Bodi ya ligi ili iwe fundisho kwa wengine.

kama ameomba radhi maana yake kakiri kosa na anastahili adhabu, simba na yanga ni watani, lakini utani haupaswi kuwa juu ya sheria na kanuni.
 
Jumlisha na yule wa kuitwa ZAKA... Jamaa anajua sana basi tu WaTz tumeumbwa tunapenda Ujinga ujinga!
Mimba fake iliyowahusisha Whozu na Wema iliTrend kuliko Report ya CAG
Haji manara kaharibu sana mpira , usemaji wa mpira umekuwa wa ovyo sana ndio maana hawa akina kamwe na mwenzie ahmed wamekuwa wakiongea ujinga ,matusi, non fact etc...mimi hakuna siku ntafungua clip au etc nimsikie kamwe au Ahmed..mimi ni mshabiki wa simba lakini hakuna mtu ananivutia na napenda kumsikia kwenye mpira wa Tanzania kama Eng hersi..jamaa ana nidhamu sana ya kuongea..
 
Kumbe we jamaa ni mtu wa mpira haswa ,nimekujua km mtu unayeipenda sana yanga ila Leo untetea mtu wa Simba ,hakika we jamaa una utu sana .
Ifike hatua kwenye utu wa mtu ushabiki wetu ukae pembeni,hata msemaji wa Simba ana kimdomo sana bila kumsahau manara hata kipindi yupo Simba sijawah mkubali Wala kumwelewa .
Kipindi yupo Simba nilikua nampiga sana spana za wazwaz huko IG Hadi aliniblock mazima had Leo.
Kuna maisha baada ya mpira huyo dogo Kwa hiyo kauli kqzingua sana
Anapozungumza ujinga lazima aambiwe
 
Back
Top Bottom