Kauli ya Waziri wa Utumishi inatia shaka. Madaraja naona yamebebwa na mafuriko

Kauli ya Waziri wa Utumishi inatia shaka. Madaraja naona yamebebwa na mafuriko

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Tuliwahi kuambiwa kuwa siku hizi mfumo wa utumishi wa umma uko kidijitali. Hata barua za promotions za madaraja zitawafikia watumishi baada ya kufanyika mabadiliko na si ile ya zamani kwamba uletewe barua kisha ukubali ndipo promotion ifuate.

Sasa cha ajabu huyu Waziri ameanza kuwachimbia mkwara ma H.R na viongozi wengine.

Kama serikali iliweza mpaka kutaja figure kamili ya watakaopanda madaraja na kutenga fedha kwanini sasa wasifanye automatically kisha barua kuja baadaye?

Kwanini wasiweke majina au check number za wahusika hadharani kuepuka mgongano?

Wasije wanatuchezea mchezo hawa wanasiasa , hiyo ndio hofu yangu.


2761667_IMG_20210503_153756.jpg
 
Kuna dogo nipo nae maeneo hapa for 3 years...hvi hizo ajira wanazitoa lini makamanda.

Au mpaka mwaka wa kiserikali tena. July huko
 
Tuliwahi kuambiwa kuwa siku hizi mfumo wa utumishi wa umma uko kidijitali. Hata barua za promotions za madaraja zitawafikia watumishi baada ya kufanyika mabadiliko na si ile ya zamani kwamba uletewe barua kisha ukubali ndipo promotion ifuate.
Sasa cha ajabu huyu Waziri ameanza kuwachimbia mkwara ma H.R na viongozi wengine.
Kama serikali iliweza mpaka kutaja figure kamili ya watakaopanda madaraja na kutenga fedha kwanini sasa wasifanye automatically kisha barua kuja baadaye?
Kwanini wasiweke majina au check number za wahusika hadharani kuepuka mgongano?
Wasije wanatuchezea mchezo hawa wanasiasa , hiyo ndio hofu yangu.View attachment 1772319
Usimuamini mwanasiasa hata kama akiwa mume/mke ako!!

NB: Ila kidogo mama samia unaeza muamini kwa mbali sana. Kama ni probability mpe 0.01 kati ya 10. Angekua mzee meko ningempa 0 kati ya 10.
 
Halafu itakuwa ngumu sana kuweza kujua kama idadi imetimizwa ama lah ...
 
Tuliwahi kuambiwa kuwa siku hizi mfumo wa utumishi wa umma uko kidijitali. Hata barua za promotions za madaraja zitawafikia watumishi baada ya kufanyika mabadiliko na si ile ya zamani kwamba uletewe barua kisha ukubali ndipo promotion ifuate.

Sasa cha ajabu huyu Waziri ameanza kuwachimbia mkwara ma H.R na viongozi wengine.

Kama serikali iliweza mpaka kutaja figure kamili ya watakaopanda madaraja na kutenga fedha kwanini sasa wasifanye automatically kisha barua kuja baadaye?

Kwanini wasiweke majina au check number za wahusika hadharani kuepuka mgongano?

Wasije wanatuchezea mchezo hawa wanasiasa , hiyo ndio hofu yangu.View attachment 1772319
Waziri yupo sahihi sn, majina yanaingizwa kwenye system(lowsan) na HR na siyo mtu yoyote, hivyo HRs wengi ni miungu watu wanataka rushwa za aina mbalimbali.
 
Hivi ndugu unawajuwa maafisa utumishi wewe?kuna baadhi wanajiona ni miungu watu Sana,yani acha tu,ziko baadhi halimashauri bado watumishi wengi tu hadi walioajiliwa 2013 hawajabadilishwa mishahara yao,wakati huo huo kuna halimashauri nyingine washapandisha vyeo watumishi na wanasubiria kupandisha wa 2014 na kuendelea,Waziri yupo sahihi kama ikitokea uzembe huo awalambe vichwa tu,ni wasumbufu Sana hao jamaa
 
Tuliwahi kuambiwa kuwa siku hizi mfumo wa utumishi wa umma uko kidijitali. Hata barua za promotions za madaraja zitawafikia watumishi baada ya kufanyika mabadiliko na si ile ya zamani kwamba uletewe barua kisha ukubali ndipo promotion ifuate.

Sasa cha ajabu huyu Waziri ameanza kuwachimbia mkwara ma H.R na viongozi wengine.

Kama serikali iliweza mpaka kutaja figure kamili ya watakaopanda madaraja na kutenga fedha kwanini sasa wasifanye automatically kisha barua kuja baadaye?

Kwanini wasiweke majina au check number za wahusika hadharani kuepuka mgongano?

Wasije wanatuchezea mchezo hawa wanasiasa , hiyo ndio hofu yangu.View attachment 1772319
Kwa hiyo ww hupendi waziri akiwakazania watu watekeleze majukumu Yao ?
 
Hivi ndugu unawajuwa maafisa utumishi wewe?kuna baadhi wanajiona ni miungu watu Sana,yani acha tu,ziko baadhi halimashauri bado watumishi wengi tu hadi walioajiliwa 2013 hawajabadilishwa mishahara yao,wakati huo huo kuna halimashauri nyingine washapandisha vyeo watumishi na wanasubiria kupandisha wa 2014 na kuendelea,Waziri yupo sahihi kama ikitokea uzembe huo awalambe vichwa tu,ni wasumbufu Sana hao jamaa
Kufanya kazi local government kunahitaji moyo
 
Back
Top Bottom