Leo tena mbele ya Mh RC Kagera wamepokea kichapo nyumbani kutoka kwa JKT Tanzania
Bado dhambi ile inaiandama timu yetu ya Kagera Sugar! baada ya kupokea kichapo cha goli 1 ikiwa nyumbani.
Mh!! Omba msamaha timu ianze kufanya vizuri, this is the principle of Karma!! haihitaji uwe na Phd kielewa hilo.
Bado dhambi ile inaiandama timu yetu ya Kagera Sugar! baada ya kupokea kichapo cha goli 1 ikiwa nyumbani.
Mh!! Omba msamaha timu ianze kufanya vizuri, this is the principle of Karma!! haihitaji uwe na Phd kielewa hilo.