Pamoja na yote haya uliyoyataja wizara ya Ulinzi angepewa mtu mwingine mtu wa sifa sifa kama kangi na mwana asiyeisha vituko DAB ungeona vituko vyao pale ngome.JWTZ na JKT ukipewa uwaziri kutongoza hivyo vyombo unakuwa hauna ishu za kuongea sana, kwanza wao hawana muingiliano sana na wananchi, sasa Waziri wa mambo ya ndani ni shida kubwa kwanza wananchi vs Polisi, DPP vs wenye makosa ya jidai, Magereza askari vs Wafungwa, Zimamoto vs Wananchi, maana yake Hiii wizara ya mambo ya ndani imejikita katika kutoa huduma kwa wananchi, tofauti na wizara ya ulinzi ambayo inalinda zaidi mipaka ya nchi na JKT kufanya miradi ya ujenzi.
Hivi waziri akimwagiza IGP atengue uteuzi wa RPC kwa sababu anazoona ni za msingi sio suala la kiutawala? Au utawala alioongelea Simbachawene ni upi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani we huoni kuwa hii ni awamu ya vituko na mbwembwe? Kuanzia anayewateua mwenyewePamoja na yote haya uliyoyataja wizara ya Ulinzi angepewa mtu mwingine mtu wa sifa sifa kama kangi na mwana asiyeisha vituko DAB ungeona vituko vyao pale ngome.
Hussein Mwinyi(Muungwana) kalelewa malezi mazuri na wazee wake hana mbwembwe, masifa wala sio roporopo, umesahau alikuwa afya uliwahi msikia akiwa roporopo ama vituko visivyoisha kama vya kange na wenzake??
Umesahau wizara hii aliwahi kupewa mnyamwezi toka urambo Prof Juma Athumani Kapuya akawa anatembea na helcopter za Jeshi hadi jimboni kwake??
Sent using Jamii Forums mobile app