Kauli za ajabu

Kauli za ajabu

Hacktivist

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2017
Posts
249
Reaction score
86
Nilimsikia mshikaji mmoja akisema "Uzuri wa mwanamke sura....tabia nitamnyoosha"
wakuu naombeni na nyie mtupie kauli ambazo ziliwaacha hoi mlipozisikia kwa mara ya kwanza.....!
 
Back
Top Bottom