Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha Ile ya maji ya rayAhahaa Kunywa maji mengi pia ilitia fora mkuu, khaa!
bora nimekumbuka nkafate jagi langu![emoji124] [emoji124]
Hujaona bandiko la shigongo anaililia ccm?fafanua kidogo mama. kidogo hapo nimetoka bila.
hiyo ni ya shigongo wakati ameenda ofisi za ccm kudai mpunga,akaambiwa "kunywa maji mwanangu"Ahahaa Kunywa maji mengi pia ilitia fora mkuu, khaa!
bora nimekumbuka nkafate jagi langu![emoji124] [emoji124]
Na hii ya kumdis mshikaji kumbe anamkaza mama yako,na siku unamkuta na taulo kumbe unayempumulia ni baba yako.Wakuu habari; Tukiwa tunaelekea mwishoni kabisa mwa mwaka huu wa 2016 naomba tukumbushane kauli za mastaa wa Bongo zilizo make headlines zaid kwa mwaka huu mzima, Binafsi naanza na hizi;
*1 KUKOJOZWA- Hii aliitoa Gadner akilenga kuelezea alichomfanya Komando Jide, nafkir hii ime trend zaid kuliko zingine mpaka saaa hivi na ilileta tafran mpaka baadhi ya wadau wakataka mamlaka za juu kuingilia kati
*2 KUZIMIWA MIC- Japo haikuwa direct, ila kwa kila aliyesikia alielewa alichokuwa amemaanisha King Kiba kuhusu tukio la mic kuzimwa akiwa jukwaani kule Mombasa, mengi yalisemwa sana , na mapovu yakawatoka watu kupita maelezo ila kwa sasa upepo umepungua
*3 KUPUMULIWA- Hili ni ingizo jipya kabisa kutoka kwa Diamond Platnumz akimlenga mtu ambaye wafukunyuku walifukunyua kuwa ni Ommy Dimpoz, speed ni kubwa na hatujui itaibua mapovu gan ya ziada
Naomba niishie hapo, kupisha wadau na michango yao.
NB: Hii ni celebrity forum,kwahy, masuala ya siasa na viwanda mkatafute jukwaa lake.Karibuni
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimeipenda hiyo ommy kibokoNa hii ya kumdis mshikaji kumbe anamkaza mama yako,na siku unamkuta na taulo kumbe unayempumulia ni baba yako.
Ommy na wema to much[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]4. wema sepetu : katika wanaume niliotembea nao T.i.d hajui kufanya mapenzi
5. vicent kigosi : weupe wangu unatokana na kunywa maji mengi sana
6. ommy dimplez : kuna wasanii Tanzania wananunua viewer youtube
Umeipenda eeh?kukojozwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]