Kauli za Celebrities wa Bongo zilizoleta ukakasi kwenye social media 2016

4. wema sepetu : katika wanaume niliotembea nao T.i.d hajui kufanya mapenzi
5. vicent kigosi : weupe wangu unatokana na kunywa maji mengi sana
6. ommy dimplez : kuna wasanii Tanzania wananunua viewer youtube
 
Ahahaa Kunywa maji mengi pia ilitia fora mkuu, khaa!
bora nimekumbuka nkafate jagi langu![emoji124] [emoji124]
hiyo ni ya shigongo wakati ameenda ofisi za ccm kudai mpunga,akaambiwa "kunywa maji mwanangu"
 
Na hii ya kumdis mshikaji kumbe anamkaza mama yako,na siku unamkuta na taulo kumbe unayempumulia ni baba yako.
 
"..mjinga sana wewe..mshenzi sana wewe.. mimi nikikuona mahali nakuua.." - Mzee wa Upako
 
Haa haa haa at kupumuliwa kwa hyo dimpoz anahemewa kisogo[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
4. wema sepetu : katika wanaume niliotembea nao T.i.d hajui kufanya mapenzi
5. vicent kigosi : weupe wangu unatokana na kunywa maji mengi sana
6. ommy dimplez : kuna wasanii Tanzania wananunua viewer youtube
Ommy na wema to much[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…