NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
- Thread starter
- #21
Nataka nimuonesheAfadhali, NALIA NGWENA nipigie huyo mtu.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nataka nimuonesheAfadhali, NALIA NGWENA nipigie huyo mtu.
Nakujua yule afiki round ya tatu.
Kumbe mpuuzi namna hiyo? Halafu inakuwaje aseme mtu akitaka kutaja jina lake (Hassan Mwakinyo) ahakikishe ana udhu kwamba? Mbona hana moral authority ya kuweka sharti hilo?Mwakinyo wa sikuhizi anachojua ni kununua mashoga tu
"Siwezi Kupanda Ulingoni kupigana na Mabondia wa Tanzania Kwa Sababu nimegundua wote wanaonitaka ni Wanawake, Kama Wanaona Kupanda Ulingoni na Mimi ni Kupata Hela Basi Mimi nipo Tayari kuwalipa" Hassan Mwakinyo
Kauli Kama hii siyo ya kiungwana kimichezo haswa mchezo wa bondia na hiyo yote inatokana na baada ya kuona kuwa Mandoga anavyopewa promo Kama bondia mkubwa hapa Tanzania wakati mabondia wapiga ngumi na wenye uwezo wanafichwa Kama nyeti ndani ya boksa.
NALIA NGWENA kutoka jukwaa maarufu Tanzania Jamii forum natangaza wazi kupitia jukwaa hili kuwa nipo Tayari kupanda ulingoni na Hassani Mwankinyo nimuoneshe namna gani huu mchezo wa ngumi unavyocheza siyo ngumi za Mandonga mtu kazi na Dula mbabe zinazomfanya ajione yeye ndiyo Tanzania One upande wa masumbwi.
Mliopo karibu na Muimba Taarabu Hasani Mwankinyo fikisheni taarifa hizi endapo atakubali kupanda jukwaani na Mimi NALIA NGWENA endapo atatoboa Round sita au tano tu Basi yeye ni mwanaume.
Natumia jukwaa hili la Michezo kuwaomba promoters na viongozi wa Jamii forum NALIA NGWENA nipo radhi kupanda jukwaani na Huyo mtoto wa pwani mkata viuno anapokuwa ulingoni.
Nawasilisha ombi langu.
View attachment 2683582
Watanzania tuna taabu sana samata tunamchukia diamond tunamchukia mwakinyo tunamchukia ila mwakinyo njia alizopita ni sawa kuongea hvyo amepambana kutengeneza jina halafu wahuni wanataka wapate mtelezo wakati anaenda kupigana ENGLAND serikali ya Tanzania ilimnyima bendera waliposikia ameshinda mwakiyembe akapata kiki hata chama cha ngumi kiligoma kumpa support akapambana mwenyewe mpaka amejulikana na kitoboa aliporudi bongo kila mtu anamgombania kama kuna mtu anaweza ngumi akapigane na mabondia wa nje huko apate sifa na hela sio apigane na mwakinyo ili iweje."Siwezi Kupanda Ulingoni kupigana na Mabondia wa Tanzania Kwa Sababu nimegundua wote wanaonitaka ni Wanawake, Kama Wanaona Kupanda Ulingoni na Mimi ni Kupata Hela Basi Mimi nipo Tayari kuwalipa" Hassan Mwakinyo
Kauli Kama hii siyo ya kiungwana kimichezo haswa mchezo wa bondia na hiyo yote inatokana na baada ya kuona kuwa Mandoga anavyopewa promo Kama bondia mkubwa hapa Tanzania wakati mabondia wapiga ngumi na wenye uwezo wanafichwa Kama nyeti ndani ya boksa.
NALIA NGWENA kutoka jukwaa maarufu Tanzania Jamii forum natangaza wazi kupitia jukwaa hili kuwa nipo Tayari kupanda ulingoni na Hassani Mwankinyo nimuoneshe namna gani huu mchezo wa ngumi unavyocheza siyo ngumi za Mandonga mtu kazi na Dula mbabe zinazomfanya ajione yeye ndiyo Tanzania One upande wa masumbwi.
Mliopo karibu na Muimba Taarabu Hasani Mwankinyo fikisheni taarifa hizi endapo atakubali kupanda jukwaani na Mimi NALIA NGWENA endapo atatoboa Round sita au tano tu Basi yeye ni mwanaume.
Natumia jukwaa hili la Michezo kuwaomba promoters na viongozi wa Jamii forum NALIA NGWENA nipo radhi kupanda jukwaani na Huyo mtoto wa pwani mkata viuno anapokuwa ulingoni.
Nawasilisha ombi langu.
View attachment 2683582
Masikini mna visirani sana!"Siwezi Kupanda Ulingoni kupigana na Mabondia wa Tanzania Kwa Sababu nimegundua wote wanaonitaka ni Wanawake, Kama Wanaona Kupanda Ulingoni na Mimi ni Kupata Hela Basi Mimi nipo Tayari kuwalipa" Hassan Mwakinyo
Kauli Kama hii siyo ya kiungwana kimichezo haswa mchezo wa bondia na hiyo yote inatokana na baada ya kuona kuwa Mandoga anavyopewa promo Kama bondia mkubwa hapa Tanzania wakati mabondia wapiga ngumi na wenye uwezo wanafichwa Kama nyeti ndani ya boksa.
NALIA NGWENA kutoka jukwaa maarufu Tanzania Jamii forum natangaza wazi kupitia jukwaa hili kuwa nipo Tayari kupanda ulingoni na Hassani Mwankinyo nimuoneshe namna gani huu mchezo wa ngumi unavyocheza siyo ngumi za Mandonga mtu kazi na Dula mbabe zinazomfanya ajione yeye ndiyo Tanzania One upande wa masumbwi.
Mliopo karibu na Muimba Taarabu Hasani Mwankinyo fikisheni taarifa hizi endapo atakubali kupanda jukwaani na Mimi NALIA NGWENA endapo atatoboa Round sita au tano tu Basi yeye ni mwanaume.
Natumia jukwaa hili la Michezo kuwaomba promoters na viongozi wa Jamii forum NALIA NGWENA nipo radhi kupanda jukwaani na Huyo mtoto wa pwani mkata viuno anapokuwa ulingoni.
Nawasilisha ombi langu.
View attachment 2683582
Mkuu una ushahidi?Mwakinyo wa sikuhizi anachojua ni kununua mashoga tu
Mkuu hakuna haja ya kumfikishia taarifa, wewe binafsi mtafute kwani yeye ameshaweka wazi yupo tayari kwa anayetaka kupambana nae kwa sharti umalize round mtakazokubaliana, hakuna kukacha mkuu! Mtafute hana shida huyo"Siwezi Kupanda Ulingoni kupigana na Mabondia wa Tanzania Kwa Sababu nimegundua wote wanaonitaka ni Wanawake, Kama Wanaona Kupanda Ulingoni na Mimi ni Kupata Hela Basi Mimi nipo Tayari kuwalipa" Hassan Mwakinyo
Kauli Kama hii siyo ya kiungwana kimichezo haswa mchezo wa bondia na hiyo yote inatokana na baada ya kuona kuwa Mandoga anavyopewa promo Kama bondia mkubwa hapa Tanzania wakati mabondia wapiga ngumi na wenye uwezo wanafichwa Kama nyeti ndani ya boksa.
NALIA NGWENA kutoka jukwaa maarufu Tanzania Jamii forum natangaza wazi kupitia jukwaa hili kuwa nipo Tayari kupanda ulingoni na Hassani Mwankinyo nimuoneshe namna gani huu mchezo wa ngumi unavyocheza siyo ngumi za Mandonga mtu kazi na Dula mbabe zinazomfanya ajione yeye ndiyo Tanzania One upande wa masumbwi.
Mliopo karibu na Muimba Taarabu Hasani Mwankinyo fikisheni taarifa hizi endapo atakubali kupanda jukwaani na Mimi NALIA NGWENA endapo atatoboa Round sita au tano tu Basi yeye ni mwanaume.
Natumia jukwaa hili la Michezo kuwaomba promoters na viongozi wa Jamii forum NALIA NGWENA nipo radhi kupanda jukwaani na Huyo mtoto wa pwani mkata viuno anapokuwa ulingoni.
Nawasilisha ombi langu.
View attachment 2683582
Unataka ushahidi?Mkuu una ushahidi?
Ndio mkuu, itakua vizuri sana.Unataka ushahidi?
Eboh!Mwakinyo wa sikuhizi anachojua ni kununua mashoga tu