Kauli za kiwaki!

Kauli za kiwaki!

sakwano

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2021
Posts
303
Reaction score
830
Aisee umenenepa sana.
Aisee umekonda sana.
Aisee hivi upo wapi saivi?
Dah...hivi kama ni kukonda au kunenepa mimi sininajifahamu tokea nimetokea nyumbni asubuhi...kuna watu huwa Wana kauli na maswali ya kiwaki sna ...je we mwana jamii forum huwa unawajibuji Hawa watu wa aina hii?
 
Hilo la upo wapi sa hv ni swali la kawaoda ila hayo mengne ya kiboya sana kuna sku jamaa mmoja nlsomga nae sec tulikutana mara anaiambie mwanang umekonda sku hz nksmuambia toka unijur kuna sku m nmenenepa mm miaka yte npo hvhv😁😁
 
Kuna mtu anaweza kukuliza umebeba nini ???

Ova
 
Aisee unamind vitu simple, hivi upo wapi?
 
Back
Top Bottom