Kauli za kocha zahera mwinyi sio za kupuuzwa

Kauli za kocha zahera mwinyi sio za kupuuzwa

pilau

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
1,595
Reaction score
451
Mara nyingi kocha wa Yanga Mwinyi zahera amekuwa amekuwa anatoa kauli kwamba timu yeke inapocheza na timu yoyote timu wanayocheza nayo inakuwa imehongwa na timu nyingine ili kuikamia Yanga ifungwe au itoe sare ... Kauli hizi ni hatari Kwa soka la Tanzania maana habari zinapotolewa hazijibiwi na upande husika yaani bodi ya ligi au TFF ... Iwapo kauli hizi zingetolewa na kocha wa ligi nyingine duniani mtoa kauli hizi angeitwa atoe uthibitisho kama ikiwezekana anapewa onyo au kulipa faini
 
..Mechi ya kwanza alisema Yanga walikuwa wageni,walienda kutafuta point moja tu,kesho Yanga ni wenyeji tuone wakitafuta ushindi....Simba 5,Yanga o.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Hivi mwinyi zahera ni kocha wa timu au msemaji wa timu? Leo nimekutana nae jengo la east africa tv mida ya saa 7 anashinda tu kwenye media mbuzi dada yule
 
Mimi siyo bodi ya ligi, naomba atoe uthibitisho!

wakati ukuta.
 
Hivi mwinyi zahera ni kocha wa timu au msemaji wa timu? Leo nimekutana nae jengo la east africa tv mida ya saa 7 anashinda tu kwenye media mbuzi dada yule
Soka huliwezi unaweza kujaribu bao. Yaani mmekaririshwa huku kwenu na waropokaji wa Simba na Yanga mkadhani ndo mfumo sahihi? Technical issues za timu msemaji ni mwalimu na msemaji ana mambo yake ya kuongelea. Huku kwenu Waropokaji wanaongelea hadi performance ya timu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Soka huliwezi unaweza kujaribu bao. Yaani mmekaririshwa huku kwenu na waropokaji wa Simba na Yanga mkadhani ndo mfumo sahihi? Technical issues za timu msemaji ni mwalimu na msemaji ana mambo yake ya kuongelea. Huku kwenu Waropokaji wanaongelea hadi performance ya timu?

Sent using Jamii Forums mobile app
"Soka huliwezi unaweza kujaribu bao" seriously wewe unajua soka? Majukumu ya msemaji wa timu unayajua? Vigezo vya kuwa msemaji wa timu unavijua? Pole sana tambua mwinyi zahera anafanya majukumu ya msemaji wa timu anafanya majukumu ya Rais wa timu anafanya majukumu ya kamati ya fedha hii ni fedheha hamna pesa mnakosa na akili?
 
kwahiyo anamaanisha kile kikosi cha waarabu cha usajili wa bil 80 kilihongwa ili kidhoofike kwa SIMBA?
 
Mara nyingi kocha wa Yanga Mwinyi zahera amekuwa amekuwa anatoa kauli kwamba timu yeke inapocheza na timu yoyote timu wanayocheza nayo inakuwa imehongwa na timu nyingine ili kuikamia Yanga ifungwe au itoe sare ... Nauli hizi ni hatari Kwa soka la Tanzania maana habari zinapotolewa hazijibiwi na upande husika yaani bodi ya ligi au TFF ... Iwapo kauli hizi zingetolewa na kocha wa ligi nyingine duniani mtoa kauli hizi angeitwa atoe uthibitisho kama ikiwezekana anapewa onyo au kulipa faini
Kesho akishakula kichapo cha mbwa koko atuambie na wao wame hongwa kiasi gani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu kocha sijawahi mwelewa hata siku moja,ana maneno mengi Na uswahili mwingi
 
Nina uhakika kesho hatakosa sababu....mtakuja kuniambia hapa
 
Soka huliwezi unaweza kujaribu bao. Yaani mmekaririshwa huku kwenu na waropokaji wa Simba na Yanga mkadhani ndo mfumo sahihi? Technical issues za timu msemaji ni mwalimu na msemaji ana mambo yake ya kuongelea. Huku kwenu Waropokaji wanaongelea hadi performance ya timu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Soka huliwezi unaweza kujaribu bao" seriously wewe unajua soka? Majukumu ya msemaji wa timu unayajua? Vigezo vya kuwa msemaji wa timu unavijua? Pole sana tambua mwinyi zahera anafanya majukumu ya msemaji wa timu anafanya majukumu ya Rais wa timu anafanya majukumu ya kamati ya fedha hii ni fedheha hamna pesa mnakosa na akili?
 
Back
Top Bottom