Kauli za mama zetu enzi zile...

Kauli za mama zetu enzi zile...

Da Vinci XV

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2019
Posts
3,862
Reaction score
6,438
Kila mtu ana zamani yake

Na miaka ile sie tu wangali wadogo tulipitia maisha fulani ambayo kwa sasa ni nadra sana

Wakumbuka zile kauli za mama zetu kama wanafalsafa wa uswazi😂😂

Mfano mama yangu mimi

"Wewe maliza tu betri za Redio ,Usiku utamsomea BABA yako taarifa ya Habari"

"Endeleni kucheza msichote maji mie ntarudi na Mvua"

EBU TURIRIKA HAPO kamsemo kutoka kwa bi mkubwa wako😂😂
 
Kuna siku mempa jibu hajawahi kulisahau alipika mboga ambayo sijawahi kuila tokea nizaliwe ilikuwa mchunga ile mekuja kanipa msosi tonge la kwanza...

Mimi: khaaa! mama leo unataka kuniua umenipikia sumu

Mama: aliishia kucheka sana....

Ikawa kila mara ikisemwa hiyo mboga anaishia kunitania Mungu amrehemu sasa ni marehemu
 
Kuna siku mempa jibu hajawahi kulisahau alipika mboga ambayo sijawahi kuila tokea nizaliwe ilikuwa mchunga ile mekuja kanipa msosi tonge la kwanza...

Mimi: khaaa! mama leo unataka kuniua umenipikia sumu

Mama: aliishia kucheka sana....

Ikawa kila mara ikisemwa hiyo mboga anaishia kunitania Mungu amrehemu sasa ni marehemu
Amyiiin🙏
 
Back
Top Bottom