Uchaguzi 2020 Kauli za Mgombea CCM Dkt. Magufuli kuhusu umwagaji wa damu zina maana gani?

Uchaguzi 2020 Kauli za Mgombea CCM Dkt. Magufuli kuhusu umwagaji wa damu zina maana gani?

Labda anaongelea damu ya hedhi maana tumeshajua kila akipanda jukwaani lazima awasimange Wanawake Weusi
 
"Baba wa Taifa ametawala kwa miaka 20+, Mwinyi miaka 10, Mkapa miaka 10, Kikwete miaka 10 hatukumwaga damu. Na mimi katika miaka 5 niliyotawala sikumwaga damu! Amani na usalama wa Watanzania ni kitu kikubwa, usiombe vita ni mbaya." -- Dkt. John Magufuli akiwa Kawe jana tarehe 14.

Nini maana ya kauli hii? Damu inamwagikaje yaani? Kwamba akiishia miaka mitano kutakuwa na umwagaji damu?

Tujadili kwa kina sana
Delete ccm Oct 28
 
Mikono yake tu inanuka damu!

Aombe ushauri kwa Makonda akatubu kwa padri kabla siku yake ya gharika haijafika hapo tarehe 28.
 
Ukieleza kuwa kama tutashindwa, basi hatukubali tutawaeleza wanachama wetu waandamane mitaani! Huo si umwagaji wa damu kama ya akwilina?
Hebu acheni kupotosha! Kuna mgombea alishawahi kusema kuwa "TUKISHINDWA HATUTAKUBALI"?
Na damu ya Akwilina ilimwagwa na nani?
Tujitahidi kutumia akili zetu ambazo Mwenyezi Mungu ametujaalia kwa kuongea/kuandika yaliyo ya kweli!
 
Wakati wa Nyerere tuliwapiga Uganda na kuua Askari wao na mwinyi alijiuzuru uwaziri wa Mambo ya ndani baada ya polisi kuuwa watanzania.

Mwinyi alipokuwa raisi inawezekana akavunja record ya kuwa raisi wa kwanza kuruhusu adhabu ya kunyongwa mamia ya watanzania. Wakati wa mkapa huko Zanzibar inaaminika mamia waliuwa 21/3/2001 kwa fujo za uchaguzi baada CCM kushindwa vibaya na maalim seif.
Wakati wa Kikwete mwandishi wa habari Daudi Mwangosi alisambaratishwa na bomu akiwa chini ya ulinzi wa polisi. Wakati wako Jiwe hakuna haja hata kuorodhesha waliokufa kwa maelekezo yako. Hao unaposema damu haijamwagika unataka kusema hao walimwaga maji? Pambaf kweli wewe
 
"Baba wa Taifa ametawala kwa miaka 20+, Mwinyi miaka 10, Mkapa miaka 10, Kikwete miaka 10 hatukumwaga damu. Na mimi katika miaka 5 niliyotawala sikumwaga damu! Amani na usalama wa Watanzania ni kitu kikubwa, usiombe vita ni mbaya." -- Dkt. John Magufuli akiwa Kawe jana tarehe 14.

Nini maana ya kauli hii? Damu inamwagikaje yaani? Kwamba akiishia miaka mitano kutakuwa na umwagaji damu?

Tujadili kwa kina sana

Mkuu chenji yote ulimaliza hapa:

"Nini maana ya kauli hii? Damu inamwagikaje yaani? Kwamba akiishia miaka mitano kutakuwa na umwagaji damu?"

Hakipo unachodai mkuu.
 
Ukieleza kuwa kama tutashindwa, basi hatukubali tutawaeleza wanachama wetu waandamane mitaani! Huo si umwagaji wa damu kama ya akwilina?
Damu ya Akwilina ilimwagwa na Polisi ndo pekee walikuwa na silaha za moto kuwathibiti wanachama wasio na silaha wa CHADEMA wakienda ofisi za NEC kuwasilisha malalamiko yao. Tukiacha damu iliyomwagika vitani na Idd Amin, damu ya wananchi ikiwa ni pamoja na ya Tundu Lissu imemwagika nyingi Awamu hii kuliko Awamu zote zilizobaki kwa ujumla wao toka Uhuru. Maandamano ya amani yanaruhusiwa kikatiba tatizo linalosababisha umwagikaji wa damu ni udhaifu wa viongozi wetu kutoa maagizo toka juu kwa Polisi kinyume na matakwa ya Katiba kujijenga kisiasa. Kauli mbiu ya Polisi na majeshi yote ni: Tekeleza agizo/amri toka juu kwanza hoji baadaye!
 
Ukieleza kuwa kama tutashindwa, basi hatukubali tutawaeleza wanachama wetu waandamane mitaani! Huo si umwagaji wa damu kama ya akwilina?
Afu unakuta aliyeandika upuuzi huu anamtoto na anasoma shule..
Ivi kwani ile kauli hamuielewi au mmekaza fuvu tu?
"Kama tukishinda na tusitangazwe. tutaingia barabarani kudai ushindi"
Kama nilisikia tofauti nisahihishe ..
Usikalili ujinga ni mzigo..
Ova
 
"Baba wa Taifa ametawala kwa miaka 20+, Mwinyi miaka 10, Mkapa miaka 10, Kikwete miaka 10 hatukumwaga damu. Na mimi katika miaka 5 niliyotawala sikumwaga damu! Amani na usalama wa Watanzania ni kitu kikubwa, usiombe vita ni mbaya." -- Dkt. John Magufuli akiwa Kawe jana tarehe 14.

Nini maana ya kauli hii? Damu inamwagikaje yaani? Kwamba akiishia miaka mitano kutakuwa na umwagaji damu?

Tujadili kwa kina sana
Magu ni chinja chinja aliyechangamka.

Nileteeeni Gwajimaaaaaa
Nileteeeni Gwajimaaàaaaaaaaaaa
Nileteeeni Gwajimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nileteeeeni gwajimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nileteeeeni gwajimaaaaaàaaaaaaaaaàaaaaàaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

Hamnionei hata huruma sauti hadi inakauka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Soon watatajana tu dalili za mvua hizi.
Yaani hapa nawakumbuka watz wenzetu Mungu awape pumziko la milele.

Pumzika kwa amani.
.Ben 8
. Azory gwanda umeacha mjane na watoto
. Aquiline tegemeo la familia
. Mawazo binti yako mkiwa
.Kanguye
.Lwajaba ukatoka segerea kujitundika mkuranga
.Viroba coco beach
.Kibiti
.Dogo Allen wa Mbeya.
Wasiojulikana Mungu anawaona soon mtaanza tajana
 
Wakati wa Nyerere tuliwapiga Uganda na kuua Askari wao na mwinyi alijiuzuru uwaziri wa Mambo ya ndani baada ya polisi kuuwa watanzania. Mwinyi alipokuwa raisi inawezekana akavunja record ya kuwa raisi wa kwanza kuruhusu adhabu ya kunyongwa mamia ya watanzania. Wakati wa mkapa huko Zanzibar inaaminika mamia waliuwa 21/3/2001 kwa fujo za uchaguzi baada ccm kushindwa vibaya na maalim seif. Wakati wa Kikwete mwandishi wa habari Daudi Mwangosi alisambaratishwa na bomu akiwa chini ya ulinzi wa polisi. Wakati wako Jiwe hakuna haja hata kuorodhesha waliokufa kwa maelekezo yako. Hao unaposema damu haijamwagika unataka kusema hao walimwaga maji? Pambaf kweli wewe
Unamtusi mtu mwenye phd magumashi ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Baba wa Taifa ametawala kwa miaka 20+, Mwinyi miaka 10, Mkapa miaka 10, Kikwete miaka 10 hatukumwaga damu. Na mimi katika miaka 5 niliyotawala sikumwaga damu! Amani na usalama wa Watanzania ni kitu kikubwa, usiombe vita ni mbaya." -- Dkt. John Magufuli akiwa Kawe jana tarehe 14.

Nini maana ya kauli hii? Damu inamwagikaje yaani? Kwamba akiishia miaka mitano kutakuwa na umwagaji damu?

Tujadili kwa kina sana
Ya Lissu haikuwa damu?
 
Back
Top Bottom