RockCarnegie
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 963
- 1,927
Kama hakumwaga damu na hataki kumwaga damu wasiwasi unatoka wapi!?"Baba wa Taifa ametawala kwa miaka 20+, Mwinyi miaka 10, Mkapa miaka 10, Kikwete miaka 10 hatukumwaga damu. Na mimi katika miaka 5 niliyotawala sikumwaga damu! Amani na usalama wa Watanzania ni kitu kikubwa, usiombe vita ni mbaya." -- Dkt. John Magufuli akiwa Kawe jana tarehe 14.
Nini maana ya kauli hii? Damu inamwagikaje yaani? Kwamba akiishia miaka mitano kutakuwa na umwagaji damu?
Tujadili kwa kina sana
Wapotoshaji kama ninyi mna sehemu yenu jehanamu. Sijui unaeneza huo upotoshaji kwa manufaa ya nani?Ukieleza kuwa kama tutashindwa, basi hatukubali tutawaeleza wanachama wetu waandamane mitaani! Huo si umwagaji wa damu kama ya akwilina?
Da!!! kwa kauli hizi kweli huyu ni mtu wa kumchagua tena jamani ..."Baba wa Taifa ametawala kwa miaka 20+, Mwinyi miaka 10, Mkapa miaka 10, Kikwete miaka 10 hatukumwaga damu. Na mimi katika miaka 5 niliyotawala sikumwaga damu! Amani na usalama wa Watanzania ni kitu kikubwa, usiombe vita ni mbaya." -- Dkt. John Magufuli akiwa Kawe jana tarehe 14.
Nini maana ya kauli hii? Damu inamwagikaje yaani? Kwamba akiishia miaka mitano kutakuwa na umwagaji damu?
Tujadili kwa kina sana
Nakumbuka bwana Slaa alikuwa anapenda kusema Kikwete ni Dr MagumashiPhD lakigumashi tu lenyewe ni tusi tosha
Duuh.. anamaanisha akina Ben Sa8, Azory Gwanda, Mawazo, Akwiline, wale mamia wa kwny viroba baharini na mto Ruvu, risasi kwa Lissu, nk, nk... huo siyo umwagaji damu?!Na mimi katika miaka 5 niliyotawala sikumwaga damu!
Ubishi tu
Msamehe bure kuna tatizo mahali,ukizoea kula nyama ya mtu huwezi kuacha"Baba wa Taifa ametawala kwa miaka 20+, Mwinyi miaka 10, Mkapa miaka 10, Kikwete miaka 10 hatukumwaga damu. Na mimi katika miaka 5 niliyotawala sikumwaga damu! Amani na usalama wa Watanzania ni kitu kikubwa, usiombe vita ni mbaya." -- Dkt. John Magufuli akiwa Kawe jana tarehe 14.
Nini maana ya kauli hii? Damu inamwagikaje yaani? Kwamba akiishia miaka mitano kutakuwa na umwagaji damu?
Tujadili kwa kina sana
Hiyo aliyoimwaga na anayoendelea kumwaga ni kitu gani?Anawahakikishia wanaotamani yeye amwage damu katu hatoweza kufanya hivyo.
Pengine kumwaga damu kuna tafsiri zaidi ya mbiliMKIRU, Ben Saanane, Azory, Akwilina, Maiti za coco beach kwenye sandaru, kutekwa, kupotezwa et etc etc. hasya yote hayakutokea huko nyuma isipokuwa kwako ....
Alfons MawazoMKIRU, Ben Saanane, Azory, Akwilina, Maiti za coco beach kwenye sandaru, kutekwa, kupotezwa et etc etc. hasya yote hayakutokea huko nyuma isipokuwa kwako ....
First things first."Baba wa Taifa ametawala kwa miaka 20+, Mwinyi miaka 10, Mkapa miaka 10, Kikwete miaka 10 hatukumwaga damu. Na mimi katika miaka 5 niliyotawala sikumwaga damu! Amani na usalama wa Watanzania ni kitu kikubwa, usiombe vita ni mbaya." -- Dkt. John Magufuli akiwa Kawe jana tarehe 14.
Nini maana ya kauli hii? Damu inamwagikaje yaani? Kwamba akiishia miaka mitano kutakuwa na umwagaji damu?
Tujadili kwa kina sana
Ebu nileeeteeeni gwajimaaaaaaaUbishi tu
Kuandamana ni kumwaga damu? Hili ni tatizo la kutawaliwa na chama kimoja kwa miaka mingi akili inachoka na kudumaa.,Ukieleza kuwa kama tutashindwa, basi hatukubali tutawaeleza wanachama wetu waandamane mitaani! Huo si umwagaji wa damu kama ya akwilina?
Siku ukirudi kwenu ukiwakuta ndugu zako wamechinjwa na Machettes ujue ndiyo umwagaji wa damu huo na vita ya wenyewe kwa wenyewe imesha anza."Baba wa Taifa ametawala kwa miaka 20+, Mwinyi miaka 10, Mkapa miaka 10, Kikwete miaka 10 hatukumwaga damu. Na mimi katika miaka 5 niliyotawala sikumwaga damu! Amani na usalama wa Watanzania ni kitu kikubwa, usiombe vita ni mbaya." -- Dkt. John Magufuli akiwa Kawe jana tarehe 14.
Nini maana ya kauli hii? Damu inamwagikaje yaani? Kwamba akiishia miaka mitano kutakuwa na umwagaji damu?
Tujadili kwa kina sana