Uchaguzi 2020 Kauli za mgombea wa CHADEMA zinashangaza sana

Wewe ndio MJINGA mkuu, Inamana kwà hizo takwimu zako ndio umuone LISSU anaakili sana
Tatizo la mjinga ni yeye tu anajiona yuko sawa ila jamii nzima inamuona kuwa yeye ni mjinga. Sina namna ya kukusaidia
 
H
India wanatengeneza umeme wa jua wa megawati 10000 kwa trilioni 8, tanzania tunatengeneza umeme wa maji (stieglers gorge) megawati 1200 kwa trillion 6. sasa hebu tueleze kuwa ni umeme upi wenye gharama hapo?
Kajamaa katapita kama hakajaona hii, mtu akiwa CCM ubongo anahamishia tumboni, point zake zinakuwa "takamwili".
Ukimuuliza je yeye hata ametumia msaada wa google kujisomea juu ya uzalishaji wa umeme kwa njia mbali mbali, unakuta hakuna alichofanya, just too quick to post a thread.
Maandishi mengi point hakuna.
 
Weka ushahidi unachosema.
Ona sasa !! Wewe uliepinga hoja ya Lissu ulitakiwa uje na facts before hand boss, sisi tumekuja kusoma ulichopost kama thread,tumekuta mapenzi yako kwa CCM.
Kikubwa tunachotaka ni free and fair election, shindeni kwa halali....na ruhusuni watu wagombee.
Unasemaje kuhusu wagombea waliokata rufaa kukamatwa na kupelekwa polisi wakiwa njiani kwenda kusikiliza rufaa yao?
Weka tena akili mfukoni ujibu hili.
Always CCM mnalazimika kutetea "ungese" unaoonekana dhahiri.
 
Kuchukua dola kuipeleka wapi?
 
K
Utafiti gani unaonyesha umeme wa gas ni cheap kuliko Hep? Utafiti gani unaonyesha Stiegler's gorge maji yatakosekana sababu ni tropical area. Maana hata Wajerumani walioanga kuzalisha umeme miaka hiyooo. Sasa mgombea wenu anadanganya watu!
Ujinga mtu hapa, kama TL ameshindwa kueleza aina ya tafiti wewe ulitakiwa kuonyesha tafiti ya justification ya hiyo miradi!
 
Sasa wewe unabishana naye wakati alikueleza kuwa alikuwa kwenye utafiti kuhusu hayo mambo kwa miaka mitatu tena huko Duniani? Yule mwenzako anasema hataki kwenda Ulaya maana Ulaya anaijenga Tanzania ndiyo siyo wa ajabu?
TL and fikra za kibeberu na anafikiri kibeberu
 
Watanzania zaidi ya 60% ni wajinga sana na huo ndiyo mtaji wa CCM. Wanaamini kila anachosema Magufuli
Kwahiyo ccm anaingia kwenye uchaguzi akiwa na mtaji wa 60% sasa akija kuongeza na wajanja kadhaa akashinda kwa zaidi 80% usiseme umeibiwa maana takwimu za ushindi wake unazo wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…