Uchaguzi 2020 Kauli za mgombea wa CHADEMA zinashangaza sana

Uchaguzi 2020 Kauli za mgombea wa CHADEMA zinashangaza sana

Hakusema ni ghali, alisema uzalishaji wa umeme kwa kutumia maji hauna garantii for the long run hasa kwenye hizi zetu za kitropiki. Alifanya utafiti.
Kwani mimi nimeandika nini? Je ni kweli maji sio ya uhakika mto Rufiji na Ruaha? Alisema maji sio ya uhakika na ghali,bora kutumia gas ambayo ni cheap.
 
Uchaguzi wa mwaka huu umekuwa wa ajabu sana. Maana ukilinganisha na chaguzi zilizopita mwaka huu ni vituko na mambo ya ajabu sana.

Okiondoa uchaguzi wa mwaka 2015 miaka ya nyuma wapinzani walikuwa na hoja. Na mikutano yao ilikuwa na hamasa. Nakumbuka mwaka 2010 alikuwa akisimama Dk Slaa unaona uwanja mzima unasisimka. Maana mbali na kuibua madudu ya ufisadi lakini alikuwa anatoa nondo za maana juu ya namna gani atalifanyia taifa letu kama angelishinda.

Mwaka huu ni dalili kuwa Chadema hawakuwa na utayari wa kuja kupambana na Ccm ili kuchukua dola.

Mgombea wa Chadema anatoa hoja za ajabu sana kiasi kwamba anatia aibu. Mfano anadiliki kusema eti sababu Tanzania ni nchi ya kitropiki basi mradi wa JNHP hauna tija na kuwa hautakuwa na ufanisi,sababu tu mvua sio nyingi. Hivi hii inaingia akilini! Yaani anasema kuwa bora tungeendelea kujenga uzalishaji umeme wa gas pale Kinyerezi. Hivi hajui Kinyerezi phase 1& 2 ni kama MW 200 tu. Ujenzi wake umechukua muda mrefu.

Lakini JNHPP inajengwa kwa miaka mitatu na itapokamilika mwakani ni Mw 2100 zitazalishwa kwa mkupuo. Na hoja anazotoa kuwa umeme wa gas una gharama kidogo kuliko wa maji ni ukakasi na zinamuondolea sifa za kuwa kiongozi.

Mimi binafsi nilitarajia ampongeze JPM kwa kujenga mradi kama ule kwa pesa za ndani kuliko kuleta habari kama hizi ambazo zinashangza sana. Ila mimi siwezi kushangaa maana huu mradi hata mabeberu walikuwa wanaupinga na mgombea wa Chadema anajinasibu kuwa yupo karibu na Mabeberu

Je, kwa hoja kama hizi zisizo na kichwa wala miguu Chadema mlistahili kuwa na mgombea kama huyu? Kwanini msingeziua tu na kutafuta madiwani na wabunge kama hamna mgombea!
Binafsi nampongeza Rais JPM kujenga mradi mkubwa kama ule kwa pesa za ndani ila. Naomba kijua kwanini deni la Taifa nimezidi kuwa kubwa huku tukiamini hela inayotumika ni yetu?
 
Binafsi nampongeza Rais JPM kujenga mradi mkubwa kama ule kwa pesa za ndani ila. Naomba kijua kwanini deni la Taifa nimezidi kuwa kubwa huku tukiamini hela inayotumika ni yetu?
Kwani hiyo hela inayolipa deni la taifa ni ya nani? Kila mwezi bil 600+ zinalipa deni la taifa ni za nani?
 
Kwani hiyo hela inayolipa deni la taifa ni ya nani? Kila mwezi bil 600+ zinalipa deni la taifa ni za nani?
Ndio uniambia kama anatumia hela za ndani, hakopi, inakuaje deni la Taifa lipande kwa zaidi ya 100%.
 
Ndio uzuri kubishana kwa hoja. Nadhani wagonbea wakikutanishwa tutajua nani msema kweli
 
Y
Ndio uzuri kubishana kwa hoja. Nadhani wagonbea wakikutanishwa tutajua nani msema kweli
Yaani mgombea wa CCM afanye mjadala na mgombea wa Chadema? Mgombea ambae anasema eti bora kujenga tramways kuliko barabara. Kukaa ubelgiji na kuona tramways imekuwa sababu ya kutupiga biti.
 
Nyie mtu akishaanza kushabikia kufilana huwa hawezi kufocus kwenye mambo ya msingi, kimsingi Lisu siyo chaguo la chadema ila mabebelu, tena sasa ana ulaia wa nchi hiyo sijui tunajua hilo
Magu amezidi kwa ukabila na mambo ya kienyeji tunahitaji rais makini sio huyu wa vichakani.
 
Uchaguzi wa mwaka huu umekuwa wa ajabu sana. Maana ukilinganisha na chaguzi zilizopita mwaka huu ni vituko na mambo ya ajabu sana.

Okiondoa uchaguzi wa mwaka 2015 miaka ya nyuma wapinzani walikuwa na hoja. Na mikutano yao ilikuwa na hamasa. Nakumbuka mwaka 2010 alikuwa akisimama Dk Slaa unaona uwanja mzima unasisimka. Maana mbali na kuibua madudu ya ufisadi lakini alikuwa anatoa nondo za maana juu ya namna gani atalifanyia taifa letu kama angelishinda.

Mwaka huu ni dalili kuwa CHADEMA hawakuwa na utayari wa kuja kupambana na Ccm ili kuchukua dola.

Mgombea wa CHADEMA anatoa hoja za ajabu sana kiasi kwamba anatia aibu. Mfano anadiliki kusema eti sababu Tanzania ni nchi ya kitropiki basi mradi wa JNHP hauna tija na kuwa hautakuwa na ufanisi,sababu tu mvua sio nyingi. Hivi hii inaingia akilini! Yaani anasema kuwa bora tungeendelea kujenga uzalishaji umeme wa gas pale Kinyerezi. Hivi hajui Kinyerezi phase 1& 2 ni kama MW 200 tu. Ujenzi wake umechukua muda mrefu.

Lakini JNHPP inajengwa kwa miaka mitatu na itapokamilika mwakani ni Mw 2100 zitazalishwa kwa mkupuo. Na hoja anazotoa kuwa umeme wa gas una gharama kidogo kuliko wa maji ni ukakasi na zinamuondolea sifa za kuwa kiongozi.

Mimi binafsi nilitarajia ampongeze JPM kwa kujenga mradi kama ule kwa pesa za ndani kuliko kuleta habari kama hizi ambazo zinashangza sana. Ila mimi siwezi kushangaa maana huu mradi hata mabeberu walikuwa wanaupinga na mgombea wa Chadema anajinasibu kuwa yupo karibu na Mabeberu

Je, kwa hoja kama hizi zisizo na kichwa wala miguu CHADEMA mlistahili kuwa na mgombea kama huyu? Kwanini msingeziua tu na kutafuta madiwani na wabunge kama hamna mgombea!
Wewe nadhani maarifa na IQ yako itakuwa kidogo sana. Waachie wenye akili, wataelewa kwa nini ilikuwa busara zaidi kuimarisha sekta ya nishati kwa kuvuna gas kuliko maji. Wewe bado sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili hata mimi nilishangaa, ni kweli Lissu anatoa haya kwenye ilani ya CDM au ni maoni yake binafsi, maana kila mtaalam anajua umeme wa maji una gharama nafuu zaidi ya umeme wa jua na gesi, sasa mgombea urais, Lissu kuja kusema JNHPP ( Stigler’s gorge) ni ghali zaidi ya umeme wa jua, unatambua tu uropokaji umechukua nafasi yake na CDM hawakujiandaa au hawakumuandaa Lissu kuja kugombea kama anaropoka asiyoyajua.
Kwa mbali naona Lissu ana unga " juhudi" kimya kimya ili asisutikiwe. Beki anapotoa pasi fyongo ina msaidia mshambuliaji wa timu pinzania kufunga goli kwa urahisi. Poleni wafuasi wake.
 
Wewe nadhani maarifa na IQ yako itakuwa kidogo sana. Waachie wenye akili, wataelewa kwa nini ilikuwa busara zaidi kuimarisha sekta ya nishati kwa kuvuna gas kuliko maji. Wewe bado sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Toa mchanganuo wa gharama kwa kutupa takwimu ya specific capital costs za miradi ya kuzalisha 2100M za umeme kwa kutumia gesi, maji, na jua. Takwimu ziwe based kwenye bei ya sasa ya soko na case study area iwe Tanzania.

Muda kama utakutosha tupatie na takwimu ya levelised cost of capital kwa kila mradi. Tumia life span ya mradi ya miaka 25 kwa kuanzia. Baada ya hapo tutajadili kama Lissu alikuwa sahihi ama la.
 
Nje ya sheria,Lisu ni tabula rasa.

Na huko kwenye sheria ni vile tu mimi Ni layman lakini mambo kibao tumeona akiingiza watu wake mkenge halafu akala za uso.

He's just a con man
 
Kama hajui hata JNHPP ni zaidi ya 2100 MW na sio 1200MW , unafikiria hizo za India anajua anachokisema, achane naye ndio waropokaji wenyewe has.
Kweli mkuu halafu eti anajifanya anajua sana kumbe zero brain!
 
India wanatengeneza umeme wa jua wa megawati 10000 kwa trilioni 8, tanzania tunatengeneza umeme wa maji (stieglers gorge) megawati 1200 kwa trillion 6. sasa hebu tueleze kuwa ni umeme upi wenye gharama hapo?
Halafu sisi jua liko kwa wingi kuliko india, Kuna haja ya kuweka open debate kwa miradi mikubwa,
 
India wanatengeneza umeme wa jua wa megawati 10000 kwa trilioni 8, tanzania tunatengeneza umeme wa maji (stieglers gorge) megawati 1200 kwa trillion 6. sasa hebu tueleze kuwa ni umeme upi wenye gharama hapo?
Tunisia na africa ya kusini wanajenga solor planet pia ngoja tuone ufanisi, wasiwasi wangu wakati wa masika inakuwaje? Saudi arabia wako jangwani mbona hawajengi Soler planets
 
Back
Top Bottom