Uchaguzi 2020 Kauli za mgombea wa CHADEMA zinashangaza sana

Uchaguzi 2020 Kauli za mgombea wa CHADEMA zinashangaza sana

Hili hata mimi nilishangaa, ni kweli Lissu anatoa haya kwenye ilani ya CDM au ni maoni yake binafsi, maana kila mtaalam anajua umeme wa maji una gharama nafuu zaidi ya umeme wa jua na gesi, sasa mgombea urais, Lissu kuja kusema JNHPP ( Stigler’s gorge) ni ghali zaidi ya umeme wa jua, unatambua tu uropokaji umechukua nafasi yake na CDM hawakujiandaa au hawakumuandaa Lissu kuja kugombea kama anaropoka asiyoyajua.
Nyie mtu akishaanza kushabikia kufilana huwa hawezi kufocus kwenye mambo ya msingi, kimsingi Lisu siyo chaguo la chadema ila mabebelu, tena sasa ana ulaia wa nchi hiyo sijui tunajua hilo
 
Kinachotakiwa ni ushindani, ukiwepo wa maji, gesi, jua, upepo vitaleta ushindani kwenye bei maana mwenye bei atakosa wateja so ushindani nimuhimu.
 
Uchaguzi wa mwaka huu umekuwa wa ajabu sana. Maana ukilinganisha na chaguzi zilizopita mwaka huu ni vituko na mambo ya ajabu sana.

Okiondoa uchaguzi wa mwaka 2015 miaka ya nyuma wapinzani walikuwa na hoja. Na mikutano yao ilikuwa na hamasa. Nakumbuka mwaka 2010 alikuwa akisimama Dk Slaa unaona uwanja mzima unasisimka. Maana mbali na kuibua madudu ya ufisadi lakini alikuwa anatoa nondo za maana juu ya namna gani atalifanyia taifa letu kama angelishinda.

Mwaka huu ni dalili kuwa Chadema hawakuwa na utayari wa kuja kupambana na Ccm ili kuchukua dola.

Mgombea wa Chadema anatoa hoja za ajabu sana kiasi kwamba anatia aibu. Mfano anadiliki kusema eti sababu Tanzania ni nchi ya kitropiki basi mradi wa JNHP hauna tija na kuwa hautakuwa na ufanisi,sababu tu mvua sio nyingi. Hivi hii inaingia akilini! Yaani anasema kuwa bora tungeendelea kujenga uzalishaji umeme wa gas pale Kinyerezi. Hivi hajui Kinyerezi phase 1& 2 ni kama MW 200 tu. Ujenzi wake umechukua muda mrefu.

Lakini JNHPP inajengwa kwa miaka mitatu na itapokamilika mwakani ni Mw 2100 zitazalishwa kwa mkupuo. Na hoja anazotoa kuwa umeme wa gas una gharama kidogo kuliko wa maji ni ukakasi na zinamuondolea sifa za kuwa kiongozi.

Mimi binafsi nilitarajia ampongeze JPM kwa kujenga mradi kama ule kwa pesa za ndani kuliko kuleta habari kama hizi ambazo zinashangza sana. Ila mimi siwezi kushangaa maana huu mradi hata mabeberu walikuwa wanaupinga na mgombea wa Chadema anajinasibu kuwa yupo karibu na Mabeberu

Je, kwa hoja kama hizi zisizo na kichwa wala miguu Chadema mlistahili kuwa na mgombea kama huyu? Kwanini msingeziua tu na kutafuta madiwani na wabunge kama hamna mgombea!
Hii ni kitu gani umeandika?
 
Hili hata mimi nilishangaa, ni kweli Lissu anatoa haya kwenye ilani ya CDM au ni maoni yake binafsi, maana kila mtaalam anajua umeme wa maji una gharama nafuu zaidi ya umeme wa jua na gesi, sasa mgombea urais, Lissu kuja kusema JNHPP ( Stigler’s gorge) ni ghali zaidi ya umeme wa jua, unatambua tu uropokaji umechukua nafasi yake na CDM hawakujiandaa au hawakumuandaa Lissu kuja kugombea kama anaropoka asiyoyajua.
Chadema haina Ilani ya Uchaguzi. Ilani ni nini Lissu ameongea kwa wakati huo!
 
Kwani kadanganya? Mara ngapi maji huwa yanapungua katika mito?
Uchaguzi wa mwaka huu umekuwa wa ajabu sana. Maana ukilinganisha na chaguzi zilizopita mwaka huu ni vituko na mambo ya ajabu sana.

Okiondoa uchaguzi wa mwaka 2015 miaka ya nyuma wapinzani walikuwa na hoja. Na mikutano yao ilikuwa na hamasa. Nakumbuka mwaka 2010 alikuwa akisimama Dk Slaa unaona uwanja mzima unasisimka. Maana mbali na kuibua madudu ya ufisadi lakini alikuwa anatoa nondo za maana juu ya namna gani atalifanyia taifa letu kama angelishinda.

Mwaka huu ni dalili kuwa Chadema hawakuwa na utayari wa kuja kupambana na Ccm ili kuchukua dola.

Mgombea wa Chadema anatoa hoja za ajabu sana kiasi kwamba anatia aibu. Mfano anadiliki kusema eti sababu Tanzania ni nchi ya kitropiki basi mradi wa JNHP hauna tija na kuwa hautakuwa na ufanisi,sababu tu mvua sio nyingi. Hivi hii inaingia akilini! Yaani anasema kuwa bora tungeendelea kujenga uzalishaji umeme wa gas pale Kinyerezi. Hivi hajui Kinyerezi phase 1& 2 ni kama MW 200 tu. Ujenzi wake umechukua muda mrefu.

Lakini JNHPP inajengwa kwa miaka mitatu na itapokamilika mwakani ni Mw 2100 zitazalishwa kwa mkupuo. Na hoja anazotoa kuwa umeme wa gas una gharama kidogo kuliko wa maji ni ukakasi na zinamuondolea sifa za kuwa kiongozi.

Mimi binafsi nilitarajia ampongeze JPM kwa kujenga mradi kama ule kwa pesa za ndani kuliko kuleta habari kama hizi ambazo zinashangza sana. Ila mimi siwezi kushangaa maana huu mradi hata mabeberu walikuwa wanaupinga na mgombea wa Chadema anajinasibu kuwa yupo karibu na Mabeberu

Je, kwa hoja kama hizi zisizo na kichwa wala miguu Chadema mlistahili kuwa na mgombea kama huyu? Kwanini msingeziua tu na kutafuta madiwani na wabunge kama hamna mgombea!
 
Uchaguzi wa mwaka huu umekuwa wa ajabu sana. Maana ukilinganisha na chaguzi zilizopita mwaka huu ni vituko na mambo ya ajabu sana.

Okiondoa uchaguzi wa mwaka 2015 miaka ya nyuma wapinzani walikuwa na hoja. Na mikutano yao ilikuwa na hamasa. Nakumbuka mwaka 2010 alikuwa akisimama Dk Slaa unaona uwanja mzima unasisimka. Maana mbali na kuibua madudu ya ufisadi lakini alikuwa anatoa nondo za maana juu ya namna gani atalifanyia taifa letu kama angelishinda.

Mwaka huu ni dalili kuwa Chadema hawakuwa na utayari wa kuja kupambana na Ccm ili kuchukua dola.

Mgombea wa Chadema anatoa hoja za ajabu sana kiasi kwamba anatia aibu. Mfano anadiliki kusema eti sababu Tanzania ni nchi ya kitropiki basi mradi wa JNHP hauna tija na kuwa hautakuwa na ufanisi,sababu tu mvua sio nyingi. Hivi hii inaingia akilini! Yaani anasema kuwa bora tungeendelea kujenga uzalishaji umeme wa gas pale Kinyerezi. Hivi hajui Kinyerezi phase 1& 2 ni kama MW 200 tu. Ujenzi wake umechukua muda mrefu.

Lakini JNHPP inajengwa kwa miaka mitatu na itapokamilika mwakani ni Mw 2100 zitazalishwa kwa mkupuo. Na hoja anazotoa kuwa umeme wa gas una gharama kidogo kuliko wa maji ni ukakasi na zinamuondolea sifa za kuwa kiongozi.

Mimi binafsi nilitarajia ampongeze JPM kwa kujenga mradi kama ule kwa pesa za ndani kuliko kuleta habari kama hizi ambazo zinashangza sana. Ila mimi siwezi kushangaa maana huu mradi hata mabeberu walikuwa wanaupinga na mgombea wa Chadema anajinasibu kuwa yupo karibu na Mabeberu

Je, kwa hoja kama hizi zisizo na kichwa wala miguu Chadema mlistahili kuwa na mgombea kama huyu? Kwanini msingeziua tu na kutafuta madiwani na wabunge kama hamna mgombea!
Ukifuatilia hotuba za Lissu ni kwa ajili ya kuwafurahisha Mataifa ya Ulaya na Marekani kana kwamba ndo watakaotuchagulia viongozi wetu ndo maana ukisikiliza kauli zake mara nyingi akiwa analalamika hupenda kusema na Dunia ijionee, maana yake ndo muwakilishi wa hao waliomtuma, ni hotuba ambazo hazina tija kwa Watanzania ambao ndio tutakaofanya uchaguzi. Kimsingi Vyama vyote vya Upinzani mwaka huu 2020 vinashiriki Uchaguzi wa Rais kwa ajili ya kutafuta ruzuku tu hakuna jambo jingine.
 
Uchaguzi wa mwaka huu umekuwa wa ajabu sana. Maana ukilinganisha na chaguzi zilizopita mwaka huu ni vituko na mambo ya ajabu sana.

Okiondoa uchaguzi wa mwaka 2015 miaka ya nyuma wapinzani walikuwa na hoja. Na mikutano yao ilikuwa na hamasa. Nakumbuka mwaka 2010 alikuwa akisimama Dk Slaa unaona uwanja mzima unasisimka. Maana mbali na kuibua madudu ya ufisadi lakini alikuwa anatoa nondo za maana juu ya namna gani atalifanyia taifa letu kama angelishinda.

Mwaka huu ni dalili kuwa Chadema hawakuwa na utayari wa kuja kupambana na Ccm ili kuchukua dola.

Mgombea wa Chadema anatoa hoja za ajabu sana kiasi kwamba anatia aibu. Mfano anadiliki kusema eti sababu Tanzania ni nchi ya kitropiki basi mradi wa JNHP hauna tija na kuwa hautakuwa na ufanisi,sababu tu mvua sio nyingi. Hivi hii inaingia akilini! Yaani anasema kuwa bora tungeendelea kujenga uzalishaji umeme wa gas pale Kinyerezi. Hivi hajui Kinyerezi phase 1& 2 ni kama MW 200 tu. Ujenzi wake umechukua muda mrefu.

Lakini JNHPP inajengwa kwa miaka mitatu na itapokamilika mwakani ni Mw 2100 zitazalishwa kwa mkupuo. Na hoja anazotoa kuwa umeme wa gas una gharama kidogo kuliko wa maji ni ukakasi na zinamuondolea sifa za kuwa kiongozi.

Mimi binafsi nilitarajia ampongeze JPM kwa kujenga mradi kama ule kwa pesa za ndani kuliko kuleta habari kama hizi ambazo zinashangza sana. Ila mimi siwezi kushangaa maana huu mradi hata mabeberu walikuwa wanaupinga na mgombea wa Chadema anajinasibu kuwa yupo karibu na Mabeberu

Je, kwa hoja kama hizi zisizo na kichwa wala miguu Chadema mlistahili kuwa na mgombea kama huyu? Kwanini msingeziua tu na kutafuta madiwani na wabunge kama hamna mgombea!
Wanafunzi wawapo darasani na hupewa mtihani waufanye kwa pamoja ili kuweza kuwapima uelewa wao ktk mambo waliyofundishwa na walimu wao. Ijapokuwa huwa wanafundishwa kwa wakati mmoja, na mwalimu husika wa somo, na hata kupewa rejea za notisi na vitabu vyenye kufanana. Lakini matokeo yakitoka hujikuta wakiwa na matokeo tofauti ya viwango vya ufaulu wa mitihani yao.

Hivi ndivyo ambavyo hutokea hata katika siasa nyakati za kampeni za uchaguzi. Kwa watu wana utofauti ktk viwango vya uelewa pale wanaposikiliza sera zikimwaga na wagombea tofauti wa vyama. Hii ndiyo maana simshangai mleta mada ktk uzi huu. Yaani licha ya madini na hoja mujarabu za Tundu Lissu, yeye anadai ni za kupuuziwa kweli!

Mkuu, sometimes kuficha ujinga wako mbele ya watu makini ni hekima pia. Yaani kama kweli ulipata muda kulisikiliza kipindi cha ITV cha dakika 45 cha mahojiano na Tundu Lissu, na ukashindwa kabisa kuona madini aliyatoa kuhusiana na sera za chama chake, basi tatizo litakuwa ni kama wale wanafunzi wengine wawasindikizao wenzao kimasomo na kufeli na kupata alama za miswaki (F) ambapo ili kuficha madhaifu ya kufeli, sera CCM huuita ni ufaulu hafifu.

Kwa hiyo basi mkuu, pamoja na kushindwa kabisa na kuwa na uelewa wa nondo za Tundu Lissu basi tuseme umefaulu. Ijapokuwa ufaulu wako ni hafifu.
 
Uchaguzi wa mwaka huu umekuwa wa ajabu sana. Maana ukilinganisha na chaguzi zilizopita mwaka huu ni vituko na mambo ya ajabu sana.

Okiondoa uchaguzi wa mwaka 2015 miaka ya nyuma wapinzani walikuwa na hoja. Na mikutano yao ilikuwa na hamasa. Nakumbuka mwaka 2010 alikuwa akisimama Dk Slaa unaona uwanja mzima unasisimka. Maana mbali na kuibua madudu ya ufisadi lakini alikuwa anatoa nondo za maana juu ya namna gani atalifanyia taifa letu kama angelishinda.

Mwaka huu ni dalili kuwa Chadema hawakuwa na utayari wa kuja kupambana na Ccm ili kuchukua dola.

Mgombea wa Chadema anatoa hoja za ajabu sana kiasi kwamba anatia aibu. Mfano anadiliki kusema eti sababu Tanzania ni nchi ya kitropiki basi mradi wa JNHP hauna tija na kuwa hautakuwa na ufanisi,sababu tu mvua sio nyingi. Hivi hii inaingia akilini! Yaani anasema kuwa bora tungeendelea kujenga uzalishaji umeme wa gas pale Kinyerezi. Hivi hajui Kinyerezi phase 1& 2 ni kama MW 200 tu. Ujenzi wake umechukua muda mrefu.

Lakini JNHPP inajengwa kwa miaka mitatu na itapokamilika mwakani ni Mw 2100 zitazalishwa kwa mkupuo. Na hoja anazotoa kuwa umeme wa gas una gharama kidogo kuliko wa maji ni ukakasi na zinamuondolea sifa za kuwa kiongozi.

Mimi binafsi nilitarajia ampongeze JPM kwa kujenga mradi kama ule kwa pesa za ndani kuliko kuleta habari kama hizi ambazo zinashangza sana. Ila mimi siwezi kushangaa maana huu mradi hata mabeberu walikuwa wanaupinga na mgombea wa Chadema anajinasibu kuwa yupo karibu na Mabeberu

Je, kwa hoja kama hizi zisizo na kichwa wala miguu Chadema mlistahili kuwa na mgombea kama huyu? Kwanini msingeziua tu na kutafuta madiwani na wabunge kama hamna mgombea!
Tutajie jina la mgombea wako wa NCCR ili tuamini uliyoandika hapa na uwe unatupa kauli za mgombea wako wa NCCR achana na za chadema.

Au chadema ni kama oxygen kwako ukiikosa unakufa?
 
Mwanasheria kawa mtaalam wa umeme na mazingira jukwaani😀😀. Kuna kila dalili huyu jamaa alichukua form ya urais ili apate jukwaa huru la kumtukana Magufuli na kusimulia hadithi za risasi
 
Tutajie jina la mgombea wako wa NCCR ili tuamini uliyoandika hapa na uwe unatupa kauli za mgombea wako wa NCCR achana na za chadema.

Au chadema ni kama oxygen kwako ukiikosa unakufa?
Mr Maganja anakuhusu nini? Mimi naongelea ukweli halisi wa mambo.
 
Back
Top Bottom