Unajua kiingereza?
"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
ukijiona unaumwa si unaenda hospital.
"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
Umenena vyema mkuu.Niliposikia kiongozi anasema ugonjwa hautaingia kwenye nyumba za ibada maana ni ugonjwa Wa kishetani nikaona hapa tumeamua kumjaribu MUUNGU wetu , huwa hajaribiwi.
Ukila chakula chenye hao wadudu mfano cholera , hakika utaugua bila kujalisha unakesha unasli au hausali. Yesu aliambiwa ajirushe toka kileleni ,akakataa na kujibu ineandikwa usimjaribu Mungu wako.
Hilo ni funzo kwetu wanaoishi leo . sio busara kunukuu vubwagizo vya kiimani kwa kiongozi mwenye dhamana na roho zetu Wa Tz na kuifanya ni Sera ya kutuongoza tufike huko tunakolenga. Viongozi kuweni makini na kauli hata zitawafanya mpendwe kwa muda lakini hatimae kauli zenu rahisi mbeleni ni majuto kwa taifa . Tafakari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uchangiaji wako, unathibitisha uwezo wako mdogo wa kufikiri, kwa kawaida hoja inapingwa na hoja yenzie na si kama ulivofanya ww, hatupo kwenye uwanja wa mapambano bali tupo kwa ajili ya kushirikishana mambo mbalimbali, yamkin kama huna cha kuchangia ni vema ukabaki kimya kuliko kuonesha mapungufu yako.siku Ukija waza positivity utakua mbali..
Jitu Jinga..kukumaji
Acha usanii.
Ukiona una dalili nenda hospital
"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
Uchangiaji wako, unathibitisha uwezo wako mdogo wa kufikiri, kwa kawaida hoja inapingwa na hoja yenzie na si kama ulivofanya ww, hatupo kwenye uwanja wa mapambano bali tupo kwa ajili ya kushirikishana mambo mbalimbali, yamkin kama huna cha kuchangia ni vema ukabaki kimya kuliko kuonesha mapungufu yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi sina tatizo na Kauli ya Waziri.Tatizo lipo katika kauli za mwanzo za viongozi wetu waliotupatia matumaini kwamba tusitishane tuchape kazi,tusipofanya kazi tutakufa .......Watanzania tuache ujinga
Tuache tabia ya kutaka kusikia tunayotaka kusikia badala ya kupenda kusikia ukweli.
Kama kauli ya Waziri ndiyo ukweli wenyewe, wacha ukweli usemwe wazi na bila ya kupindisha. Mleta mada una uhakika gani kuwa hiyo kauli ya Waziri haijatokana na projections za wataalam?
Kama mimi nina dalili za corona..
DALILI ZA MIMBA CHANGA HIZO..
Mswahili siku zote anataka adanganywe ili nafsi yake iridhike. Na pale Waziri kaongea kistaarabu, tukumbuke nchi nyingine mfano Uganda hili suala la Corona anaongea Museveni mwenyewe, amri zote anazitoa yeye moja kwa moja.Ulitaka awasilishe kwa njia gani? Maana naona ...ueleweki watu wanapaswa kuambiwa ukweli..local transmission inaenda kuchukua nafasi ni jambo zuri / isipokuwa mapopoma wetu watz wanaogopa kifo sana.
Navyohisi mimi wagonjwa wa corona wapo wengi tu sema wanapunguza idadi ili kupunguza taharuki ,kufikia week ijayo siku moja kabla ya kufungua shule na vyuo wanaweza kusema idadi ya ukweli,maana kwa utafiti wangu nilioufanya inaonyesha kwenye kutangaza wanatumia mfumo wa kuongeza watu 2 kila wanapotangazaTunajua na hakuna Mtanzania hasa mfuatiliaji wa Mambo asiyejua kuwa kiukweli COVID-19 ni hatari na ' inapukutisha ' Watu kweli kweli kuanzia Mataifa ya Kitajiri (Ulaya na Marekani) na hata katika baadhi ya nchi zetu za Afrika na kwa Majirani zetu wakubwa Kijiografia Kenya, Uganda na Rwanda.
Nimekuwa nikifuatilia hasa kwa baadhi ya nchi zenye Maambukizi na hata Vifo jinsi Mawaziri wao wa Afya wanavyokuwa ' Smart ' kama kutoa Taarifa kwa Wananchi Wao katika njia ya Kiumakini na iliyojaa zaidi Saikolojia ya Kimawasiliano kiasi kwamba haiwezi Kuwashtua.
Hakuna asiyejua (labda awe Mpumbavu tu) kuwa karibia 85% ya Wananchi wa hizi nchi zetu Masikini (za Kingumbaru) Tanzania ikiwemo upataji Wao wa Kipato unategemea mno Kutoka na Kutafuta katika sehemu mbalimbali hivyo ikitokea tu wakapewa Taarifa kwa Kitisho itawatesa zaidi Kisaikolojia.
Muda si mrefu Waziri wa Afya wa Tanzania Mheshimiwa Ummy Mwalimu ametoka Kutoa Kauli ambayo kwa tulio Mtaani sasa (katika Jamii) tunaanza Kuona jinsi Watu wakianza Kuchanganyikiwa na Kupata ' taharuki ' ukizingatia tayari harakati za Sikukuu ya Pasaka zimeshaanza kwa wengi.
Kauli yake Waziri ya kuwataka Watanzania wajiandae kwa Maambukizi Makubwa zaidi ya COVID-19 ndani ya Siku chache zijazo kutoka sasa mwenyewe akiyaita ' Community Transmission ' ilipaswa itolewe Kiumakini na ikiwezekana awahusishe Wataalam wa Mawasiliano na sivyo alivyofanya.
Tayari huku Mitaani naanza Kushuhudia Watu wakitishana kuwa sijui kuanzia Wiki ijayo Watanzania wengi hasa wana Dar es Salaam watakufa sana kwa CORONA. Kuna Watu nimewasikia wakisema kuwa wanataka Kulikimbia Jiji la Dar es Salaam ili Wasife na tufe Sisi tu Mapopoma wa Jiji hili.
Na asichokijua huyu Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ni kwamba hii Kauli yake inaweza ikapelekea hata hali ya Maisha na ya Kibiashara (hasa kwa Bidhaa na Huduma) kuanza kuwa ngumu na Watu Kuteseka. Na kuna Uwezekano hata Uhalifu ukaongezeka na hali kuwa mbaya zaidi.
Kwa ' Udhaifu ' huu wa utoaji wake Taarifa na hasa hii ya leo kuwa Watanzania wajiandae kwa ' Dhahama ' kubwa ya CORONA na Mwenendo wake mzima katika Kukabiliana na hili Janga sasa ni rasmi huyu Mwamama na Dada yetu ' ajiuzuru ' tu upesi awapishe wenye uwezo zaidi yake.
Nimesikitika sana!
Nawasilisha.
Walikuwa wanaficha ficha ukweli Sasa itakuwa ni stage ya kufuniana ndani soonTunajua na hakuna Mtanzania hasa mfuatiliaji wa Mambo asiyejua kuwa kiukweli COVID-19 ni hatari na ' inapukutisha ' Watu kweli kweli kuanzia Mataifa ya Kitajiri (Ulaya na Marekani) na hata katika baadhi ya nchi zetu za Afrika na kwa Majirani zetu wakubwa Kijiografia Kenya, Uganda na Rwanda.
Nimekuwa nikifuatilia hasa kwa baadhi ya nchi zenye Maambukizi na hata Vifo jinsi Mawaziri wao wa Afya wanavyokuwa ' Smart ' kama kutoa Taarifa kwa Wananchi Wao katika njia ya Kiumakini na iliyojaa zaidi Saikolojia ya Kimawasiliano kiasi kwamba haiwezi Kuwashtua.
Hakuna asiyejua (labda awe Mpumbavu tu) kuwa karibia 85% ya Wananchi wa hizi nchi zetu Masikini (za Kingumbaru) Tanzania ikiwemo upataji Wao wa Kipato unategemea mno Kutoka na Kutafuta katika sehemu mbalimbali hivyo ikitokea tu wakapewa Taarifa kwa Kitisho itawatesa zaidi Kisaikolojia.
Muda si mrefu Waziri wa Afya wa Tanzania Mheshimiwa Ummy Mwalimu ametoka Kutoa Kauli ambayo kwa tulio Mtaani sasa (katika Jamii) tunaanza Kuona jinsi Watu wakianza Kuchanganyikiwa na Kupata ' taharuki ' ukizingatia tayari harakati za Sikukuu ya Pasaka zimeshaanza kwa wengi.
Kauli yake Waziri ya kuwataka Watanzania wajiandae kwa Maambukizi Makubwa zaidi ya COVID-19 ndani ya Siku chache zijazo kutoka sasa mwenyewe akiyaita ' Community Transmission ' ilipaswa itolewe Kiumakini na ikiwezekana awahusishe Wataalam wa Mawasiliano na sivyo alivyofanya.
Tayari huku Mitaani naanza Kushuhudia Watu wakitishana kuwa sijui kuanzia Wiki ijayo Watanzania wengi hasa wana Dar es Salaam watakufa sana kwa CORONA. Kuna Watu nimewasikia wakisema kuwa wanataka Kulikimbia Jiji la Dar es Salaam ili Wasife na tufe Sisi tu Mapopoma wa Jiji hili.
Na asichokijua huyu Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ni kwamba hii Kauli yake inaweza ikapelekea hata hali ya Maisha na ya Kibiashara (hasa kwa Bidhaa na Huduma) kuanza kuwa ngumu na Watu Kuteseka. Na kuna Uwezekano hata Uhalifu ukaongezeka na hali kuwa mbaya zaidi.
Kwa ' Udhaifu ' huu wa utoaji wake Taarifa na hasa hii ya leo kuwa Watanzania wajiandae kwa ' Dhahama ' kubwa ya CORONA na Mwenendo wake mzima katika Kukabiliana na hili Janga sasa ni rasmi huyu Mwamama na Dada yetu ' ajiuzuru ' tu upesi awapishe wenye uwezo zaidi yake.
Nimesikitika sana!
Nawasilisha.
Jipe moyo na usichukue hatua za kujihami na Covid 19...sema kama bado huwezi kufa kamwe....kuna watu waliimba usimchezee Chatu..ohoo Chatu oooh...mengine utajazia kama mkongwe...Nawa mikono Mara kwa Mara epuka mikusanyiko......jielimishe dalili za wagonjwa au ugonjwa wa Covid19..utaepuka vivo au kifo cha kizembe....Hangaikeni wee ila tambueni hakuna mtu anayeweza kulinda uhai wake duniani. Hakuna aliye na mamla na uhai wake..Muda ukifika utakufa kama bado huwezi kufa kamwe!
.....Bwana asipoulinda mji waulindao wanakesha
Ujumbe wa Waziri hakika umefika ikiwa hata wewe unataharuki ati ... kuna Watu nimewasikia wakisema kuwa wanataka Kulikimbia Jiji la Dar es Salaam ili Wasife na tufe Sisi tu Mapopoma wa Jiji hili!Tunajua na hakuna Mtanzania hasa mfuatiliaji wa Mambo asiyejua kuwa kiukweli COVID-19 ni hatari na ' inapukutisha ' Watu kweli kweli kuanzia Mataifa ya Kitajiri (Ulaya na Marekani) na hata katika baadhi ya nchi zetu za Afrika na kwa Majirani zetu wakubwa Kijiografia Kenya, Uganda na Rwanda.
Nimekuwa nikifuatilia hasa kwa baadhi ya nchi zenye Maambukizi na hata Vifo jinsi Mawaziri wao wa Afya wanavyokuwa ' Smart ' kama kutoa Taarifa kwa Wananchi Wao katika njia ya Kiumakini na iliyojaa zaidi Saikolojia ya Kimawasiliano kiasi kwamba haiwezi Kuwashtua.
Hakuna asiyejua (labda awe Mpumbavu tu) kuwa karibia 85% ya Wananchi wa hizi nchi zetu Masikini (za Kingumbaru) Tanzania ikiwemo upataji Wao wa Kipato unategemea mno Kutoka na Kutafuta katika sehemu mbalimbali hivyo ikitokea tu wakapewa Taarifa kwa Kitisho itawatesa zaidi Kisaikolojia.
Muda si mrefu Waziri wa Afya wa Tanzania Mheshimiwa Ummy Mwalimu ametoka Kutoa Kauli ambayo kwa tulio Mtaani sasa (katika Jamii) tunaanza Kuona jinsi Watu wakianza Kuchanganyikiwa na Kupata ' taharuki ' ukizingatia tayari harakati za Sikukuu ya Pasaka zimeshaanza kwa wengi.
Kauli yake Waziri ya kuwataka Watanzania wajiandae kwa Maambukizi Makubwa zaidi ya COVID-19 ndani ya Siku chache zijazo kutoka sasa mwenyewe akiyaita ' Community Transmission ' ilipaswa itolewe Kiumakini na ikiwezekana awahusishe Wataalam wa Mawasiliano na sivyo alivyofanya.
Tayari huku Mitaani naanza Kushuhudia Watu wakitishana kuwa sijui kuanzia Wiki ijayo Watanzania wengi hasa wana Dar es Salaam watakufa sana kwa CORONA. Kuna Watu nimewasikia wakisema kuwa wanataka Kulikimbia Jiji la Dar es Salaam ili Wasife na tufe Sisi tu Mapopoma wa Jiji hili.
Na asichokijua huyu Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ni kwamba hii Kauli yake inaweza ikapelekea hata hali ya Maisha na ya Kibiashara (hasa kwa Bidhaa na Huduma) kuanza kuwa ngumu na Watu Kuteseka. Na kuna Uwezekano hata Uhalifu ukaongezeka na hali kuwa mbaya zaidi.
Kwa ' Udhaifu ' huu wa utoaji wake Taarifa na hasa hii ya leo kuwa Watanzania wajiandae kwa ' Dhahama ' kubwa ya CORONA na Mwenendo wake mzima katika Kukabiliana na hili Janga sasa ni rasmi huyu Mwamama na Dada yetu ' ajiuzuru ' tu upesi awapishe wenye uwezo zaidi yake.
Nimesikitika sana!
Nawasilisha.
Ndugu yangu hapo hata umtoe umeweke dr.mwinyi nae atakueletea longolongo hizi hizi. Maana unapewa tu usome....Kwahiyo tunamuonea kwa Kututisha Kwake Jana kuwa huenda kuanzia Wiki ijayo Maiti zikawa nyingi nchini kutokana na kwamba sasa kunaenda kuwa na ' Community Transmission ' tofauti na ilivyokuwa hapo awali? Huyu Waziri wenu amefeli na kila Siku tu Kauli zake zinapishana na Kutuchanganya wengi. Nashangaa kuona wapo Watu wanaomsapoti wakati kwa Mapungufu yake ya Kiutendaji hata Wao wanaweza ' Kupukutika ' Kwa Kufa kama siyo Kufariki kabisa.
No!.Enlight us and please share with us the difference between them!Do You know something called Destiny and Fate..?