Kauli zilizotoweka tangu Magufuli aingie madarakani

Kauli zilizotoweka tangu Magufuli aingie madarakani

Naenda msoga mara moja(mtu akikamatwa na trafik moro road na kuulizwa anaenda wapi)
 
Kama mwenye nyumba anakusumbua sema tutafute nyumba nyingine kwani hiyo kodi iliyobaki ni kitu gani bwana!
 
"LaZma tujenge uwanja wa Chato" ni sawa na 'hata mle majani ndege inanunuliwa"
 
Back
Top Bottom