KAULI ZILIZOWAHI KULETA GUMZO KWENYE JAMII

KAULI ZILIZOWAHI KULETA GUMZO KWENYE JAMII

roja24

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2012
Posts
634
Reaction score
410
Salaam wadau, naomba tujikumbushe kauli zilizotolewa na viongozi au watu maarufu na ambazo zilileta gumzo na mijadala sana kwenye jamii hapa Tanzania

Naanza na
1." Hivi ni Vijisenti"
2." Kama mtu hawezi kulipa 200 kuvuka panton Apige mbizi/aogelee"
3." Naunga Mkonyo Hoja"
4." Nasema watapata TABU saana, narudia watapata Tabu saana, kwasababu Kipigo chake ni cha Umbwa KOKO"
5." Hela ya kubafilishia mboga"
6." Tunaanza Upyaaaaaaaaaaaaaaaaa"
7." Ommy Hatoimba tena, kuimba ni Vocal"
8." Nimeonja Utam wa yes..u eee"
9." Naliamsha DUDEEEEE"
10." Ukitaka kulaa, ukubali kuliwa na wewe kidogooo."



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kazaneni kwenye miti ya korosho huko..

Kadri unavyopanua ndivyo watu wazidi kutamani.
 
Salaam wadau, naomba tujikumbushe kauli zilizotolewa na viongozi au watu maarufu na ambazo zilileta gumzo na mijadala sana kwenye jamii hapa Tanzania

Naanza na
1." Hivi ni Vijisenti"
2." Kama mtu hawezi kulipa 200 kuvuka panton Apige mbizi/aogelee"
3." Naunga Mkonyo Hoja"
4." Nasema watapata TABU saana, narudia watapata Tabu saana, kwasababu Kipigo chake ni cha Umbwa KOKO"
5." Hela ya kubafilishia mboga"
6." Tunaanza Upyaaaaaaaaaaaaaaaaa"
7." Ommy Hatoimba tena, kuimba ni Vocal"
8." Nimeonja Utam wa yes..u eee"
9." Naliamsha DUDEEEEE"
10." Ukitaka kulaa, ukubali kuliwa na wewe kidogooo."



Sent using Jamii Forums mobile app
Umesahau sukuma ndani
 
Soma iyoooookoo..
Wee mtu wa mkoa ww

Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
 
.
 

Attachments

  • Soma iyooo.JPG
    Soma iyooo.JPG
    10.8 KB · Views: 66
Back
Top Bottom