Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwaiyo mnajiaminisha chadema itapita? Magu lazima akamilishe miaka yake 10 mpende mcpende jombaa. Kwaiyo ninyi subirini 2025 ndio muongee, kwanza mshapoteana.
Sasa basi! Tumechoka na umaskini, uonevu, ubaguzi na ubabe. Sasa basi!
Ha ha ha hatari fire.sasa basi nini mimba za utotoni au
masuala yote waliyokua wanapigia kelele serikali inayafanyia kazi wanalalamika nini tena
kipindi cha UKUTA walikushikiza sana huo ukuta mpaka mpaka sasa hivi marinda hunaKipindi kile cha UKUTA mliogopa virungu na maji ya upupu..:
Nyie huwa ni maneno tu.
Vitendo sifuri kabisa.
Wanafiki sana hawa,hawana tofauti na mbwa koko. Jamaa yao kapigwa ban na tume akajifanya kuvimba picha ya mwisho akaishia kwenda kupiga mweche Mwendokasi.Kipindi kile cha UKUTA mliogopa virungu na maji ya upupu..:
Nyie huwa ni maneno tu.
Vitendo sifuri kabisa.
UHURU HAKI NA MAENDELEO YA watu sasa basi nikibwagizo elewa naona shuleni ulikuwa mzito kweli ndio maana tunalilia watumishi waongezwe mishahara namadaraja sasa mwalimu anapokutana nawatu wanamna hii unafikiri jasho humtoka iliujibu mitihani vizuri"SASA BASI" ndio kaulimbiu mpya ya CHADEMA kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2020
Tumeonewa sana, Tumenyanyaswa sana SASA BASI.
Ngoja tuone. Inaonyesha dalili za kukata tamaa.
Maendeleo hayana vyama!