Mgaa gaa upwa
Senior Member
- Jan 11, 2024
- 180
- 281
Wasalaam.
Ni mwezi Sasa umepita tangu nilipoleta uzi hapa jukwaani unaosema
Nilipewa ushauri mzuri Sana na Wana JF home of great great thinkers, niliwasiliana na BOT kweli baada ya weekend balance ya mkopo ikatoka ikiwa na limit ya wiki moja niwe nimelipa Deni.
Kama kijana mchakarikaji nilipambana Hadi nikalipa Deni lote ndani ya wiki hiyo na kupeleka bank statement (walivyoagiza).
Malipo yote yalifanyika mwanzoni mwa mwezi wa Tisa na tukaachana.
Cha kushangaza bado niliona makato yao kwenye mshahara wangu na Tena siyo kuona tu, mwisho wa mwezi wakakata mshahara wangu Kama malipo ya mkopo ule ulivyokuwa awali.
Kuwarudia wakawa wakali wananiambia nisubirie, haya Sasa Leo hii tarehe 9/10 Ina maana ikifika mwisho wa mwezi wakakata Tena pesa yangu.
Nimewarudia BOT kwa mfumo uleule wa email Cha kushangaza wanani-forwardia email waliyowatumia makao makuu Banc ABC Hadi leo kimya.
Narudi kwenu Tena lipi lifuatie maana nilishikwa na hasira Hadi nawaza kwenda mahakamani kufungua shauri la madai na wizi huu. Je kuna msaada naweza pata kutoka kwenu.
Welcome JF MEMBERS.
Ni mwezi Sasa umepita tangu nilipoleta uzi hapa jukwaani unaosema
Banc ABC wamekataa kulipwa, msaada wenu unahitajika.
Nilipewa ushauri mzuri Sana na Wana JF home of great great thinkers, niliwasiliana na BOT kweli baada ya weekend balance ya mkopo ikatoka ikiwa na limit ya wiki moja niwe nimelipa Deni.
Kama kijana mchakarikaji nilipambana Hadi nikalipa Deni lote ndani ya wiki hiyo na kupeleka bank statement (walivyoagiza).
Malipo yote yalifanyika mwanzoni mwa mwezi wa Tisa na tukaachana.
Cha kushangaza bado niliona makato yao kwenye mshahara wangu na Tena siyo kuona tu, mwisho wa mwezi wakakata mshahara wangu Kama malipo ya mkopo ule ulivyokuwa awali.
Kuwarudia wakawa wakali wananiambia nisubirie, haya Sasa Leo hii tarehe 9/10 Ina maana ikifika mwisho wa mwezi wakakata Tena pesa yangu.
Nimewarudia BOT kwa mfumo uleule wa email Cha kushangaza wanani-forwardia email waliyowatumia makao makuu Banc ABC Hadi leo kimya.
Narudi kwenu Tena lipi lifuatie maana nilishikwa na hasira Hadi nawaza kwenda mahakamani kufungua shauri la madai na wizi huu. Je kuna msaada naweza pata kutoka kwenu.
Welcome JF MEMBERS.