mwakani naolewa
Senior Member
- Jul 25, 2024
- 148
- 426
Miongoni mwa changamoto nyingi zinazowakumba watumishi wa serikali ni mikopo almaarufu kama Kausha damu, ambapo inasemekana kua mikopo hiyo imekua changamoto kubwa sana kwa wafanyakazi wa serikali hasa walimu inayopelekea msongo wa mawazo na wengine kujiua.
Amezungumza hayo mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Songea Bi.Elizabeth Mathias akizungumza na watumishi wa Songea ambao ni walimu katika kongamano spesho la walimu lililoandaliwa na benki ya NMB alisema kuwa "mikopo maarufu kama kausha damu ni changamoto kubwa kwa watumishi wakiwemo walimu inayopelekea watumishi wengi kushindws kufsnys kazi kwa ufanisi na wengine kufikia hatua ya kujinyonga kutokana na msongo wa mawazo."
aidha, kuondokana na changaqmoto hiyo benki ya NMB imeamua kuja na kifurushi cha walimu spesho ambacho kitawawezesha kukopa na kuondoa changamoto nyingine za kifedha.
Amezungumza hayo mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Songea Bi.Elizabeth Mathias akizungumza na watumishi wa Songea ambao ni walimu katika kongamano spesho la walimu lililoandaliwa na benki ya NMB alisema kuwa "mikopo maarufu kama kausha damu ni changamoto kubwa kwa watumishi wakiwemo walimu inayopelekea watumishi wengi kushindws kufsnys kazi kwa ufanisi na wengine kufikia hatua ya kujinyonga kutokana na msongo wa mawazo."
aidha, kuondokana na changaqmoto hiyo benki ya NMB imeamua kuja na kifurushi cha walimu spesho ambacho kitawawezesha kukopa na kuondoa changamoto nyingine za kifedha.