Mastamind
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 1,304
- 830
Mwezi Ulopita Nilinunua Nyumba 50M Kutoka kwa Mama Mmoja.
Tuliandikishana kwa Mwanasheria, lakini kipindi tushafanya malipo na tunaelekea kusaini mkataba wa mauziano aliomba apewe siku 2/3 za kujiandaa kutoka, binafsi sikuwa na shida nikamjibu tumalize hili la Kisheria tutazungumza. Tulimaliza mauziano kila mmoja akaenda na njia yake.
Ikaja wakati wa kujenga fence na ukarabati ndani, siku nimetua na mifuko yangu ya cement na vifaa vingine vya ujenzi wa fensi alinizuia nisiweke nyumba kubwa kwani hataki muingiliano na mafundi. Nikasema OK
Ikaja ishu nataka kuanza kupiga Tiles ndani nyumba kubwa, vifaa nshanunua nikamuomba nikute naanza vyumba ambavyo havitumii nako akagoma hataki muingiliano na mafundi, me nimsubiri muda wa mwezi akihama nifanye yangu. Nikasema OK vifaa nikamuomba nivihifadhi chumba nyumba kubwa akaniruhusu.
Ikaja nimekamilisha mageti ya fensi yanahitaji kuchomelewa umeme unatoka ndani kwenye main switch, akagoma napo ananikazia nisubir weekend atakayokuwa na nafasi au mpaka atakapohama.
Muda wa mwezi mmoja ninaomhesabia ni Feb 05,2022 ndipo atoke.
Msaada:
1. Hivi huu utaratibu kwake na kwangu ukoje kisheria mtu anapokuwa ameamua kuuza mali yake lakini bado anaing'ang'ania!?
2. Hivi anavyoonekana huyu mama tarehe hiyo ikifika anaweza kuhama kweli,!?? Na km akigoma nn naweza kufanya?
Ni mama ambaye haoneshi ushirikiano wowote toka tumalize mauziano
Kazi za Fensi zimesimama, za Tiles, za rangi, kifupi hakuna nachoweza kufanya kwenye huo mji kazuia mpaka aondoke
Tuliandikishana kwa Mwanasheria, lakini kipindi tushafanya malipo na tunaelekea kusaini mkataba wa mauziano aliomba apewe siku 2/3 za kujiandaa kutoka, binafsi sikuwa na shida nikamjibu tumalize hili la Kisheria tutazungumza. Tulimaliza mauziano kila mmoja akaenda na njia yake.
Ikaja wakati wa kujenga fence na ukarabati ndani, siku nimetua na mifuko yangu ya cement na vifaa vingine vya ujenzi wa fensi alinizuia nisiweke nyumba kubwa kwani hataki muingiliano na mafundi. Nikasema OK
Ikaja ishu nataka kuanza kupiga Tiles ndani nyumba kubwa, vifaa nshanunua nikamuomba nikute naanza vyumba ambavyo havitumii nako akagoma hataki muingiliano na mafundi, me nimsubiri muda wa mwezi akihama nifanye yangu. Nikasema OK vifaa nikamuomba nivihifadhi chumba nyumba kubwa akaniruhusu.
Ikaja nimekamilisha mageti ya fensi yanahitaji kuchomelewa umeme unatoka ndani kwenye main switch, akagoma napo ananikazia nisubir weekend atakayokuwa na nafasi au mpaka atakapohama.
Muda wa mwezi mmoja ninaomhesabia ni Feb 05,2022 ndipo atoke.
Msaada:
1. Hivi huu utaratibu kwake na kwangu ukoje kisheria mtu anapokuwa ameamua kuuza mali yake lakini bado anaing'ang'ania!?
2. Hivi anavyoonekana huyu mama tarehe hiyo ikifika anaweza kuhama kweli,!?? Na km akigoma nn naweza kufanya?
Ni mama ambaye haoneshi ushirikiano wowote toka tumalize mauziano
Kazi za Fensi zimesimama, za Tiles, za rangi, kifupi hakuna nachoweza kufanya kwenye huo mji kazuia mpaka aondoke