Kauza nyumba kagoma kutoka

Kauza nyumba kagoma kutoka

Mwezi Ulopita Nilinunua Nyumba 50M Kutoka kwa Mama Mmoja.

Tuliandikishana kwa Mwanasheria, lakini kipindi tushafanya malipo na tunaelekea kusaini mkataba wa mauziano aliomba apewe siku 2/3 za kujiandaa kutoka, binafsi sikuwa na shida nikamjibu tumalize hili la Kisheria tutazungumza. Tulimaliza mauziano kila mmoja akaenda na njia yake.

Ikaja wakati wa kujenga fence na ukarabati ndani, siku nimetua na mifuko yangu ya cement na vifaa vingine vya ujenzi wa fensi alinizuia nisiweke nyumba kubwa kwani hataki muingiliano na mafundi. Nikasema OK

Ikaja ishu nataka kuanza kupiga Tiles ndani nyumba kubwa, vifaa nshanunua nikamuomba nikute naanza vyumba ambavyo havitumii nako akagoma hataki muingiliano na mafundi, me nimsubiri muda wa mwezi akihama nifanye yangu. Nikasema OK vifaa nikamuomba nivihifadhi chumba nyumba kubwa akaniruhusu.

Ikaja nimekamilisha mageti ya fensi yanahitaji kuchomelewa umeme unatoka ndani kwenye main switch, akagoma napo ananikazia nisubir weekend atakayokuwa na nafasi au mpaka atakapohama.
Muda wa mwezi mmoja ninaomhesabia ni Feb 05,2022 ndipo atoke.

Msaada:
1. Hivi huu utaratibu kwake na kwangu ukoje kisheria mtu anapokuwa ameamua kuuza mali yake lakini bado anaing'ang'ania!?

2. Hivi anavyoonekana huyu mama tarehe hiyo ikifika anaweza kuhama kweli,!?? Na km akigoma nn naweza kufanya?

Ni mama ambaye haoneshi ushirikiano wowote toka tumalize mauziano

Kazi za Fensi zimesimama, za Tiles, za rangi, kifupi hakuna nachoweza kufanya kwenye huo mji kazuia mpaka aondoke

Kama umenunua Nyumba Kwa 50m Na kuna sahihi ya mwanasheria? Lengo la kuja kuuliza hapa Ni nini? Huyo mwanasheria hajui au wewe Hujui utaratibu?
 
Mwezi Ulopita Nilinunua Nyumba 50M Kutoka kwa Mama Mmoja.

Tuliandikishana kwa Mwanasheria, lakini kipindi tushafanya malipo na tunaelekea kusaini mkataba wa mauziano aliomba apewe siku 2/3 za kujiandaa kutoka, binafsi sikuwa na shida nikamjibu tumalize hili la Kisheria tutazungumza. Tulimaliza mauziano kila mmoja akaenda na njia yake.

Ikaja wakati wa kujenga fence na ukarabati ndani, siku nimetua na mifuko yangu ya cement na vifaa vingine vya ujenzi wa fensi alinizuia nisiweke nyumba kubwa kwani hataki muingiliano na mafundi. Nikasema OK

Ikaja ishu nataka kuanza kupiga Tiles ndani nyumba kubwa, vifaa nshanunua nikamuomba nikute naanza vyumba ambavyo havitumii nako akagoma hataki muingiliano na mafundi, me nimsubiri muda wa mwezi akihama nifanye yangu. Nikasema OK vifaa nikamuomba nivihifadhi chumba nyumba kubwa akaniruhusu.

Ikaja nimekamilisha mageti ya fensi yanahitaji kuchomelewa umeme unatoka ndani kwenye main switch, akagoma napo ananikazia nisubir weekend atakayokuwa na nafasi au mpaka atakapohama.
Muda wa mwezi mmoja ninaomhesabia ni Feb 05,2022 ndipo atoke.

Msaada:
1. Hivi huu utaratibu kwake na kwangu ukoje kisheria mtu anapokuwa ameamua kuuza mali yake lakini bado anaing'ang'ania!?

2. Hivi anavyoonekana huyu mama tarehe hiyo ikifika anaweza kuhama kweli,!?? Na km akigoma nn naweza kufanya?

Ni mama ambaye haoneshi ushirikiano wowote toka tumalize mauziano

Kazi za Fensi zimesimama, za Tiles, za rangi, kifupi hakuna nachoweza kufanya kwenye huo mji kazuia mpaka aondoke
Fanya mapema umuondoe hapo,huyo ana illusion na haamini kama anaiacha nyumba yake aliyokaa au kujenga miaka yote.Hii ilinitokea mimi kitofauti,aliyeniuzia alitoka ila aligoma kabisa kunipa ushirikiano wakati nafanya transfer ya title,busara ya mke wake ilisaidia sana kusawazisha mambo.
 
Imeisha .....wala asisumbuke Sana, maana hii order ( eviction notice) ikitolewa na mahakama afu akakaidi...tayari atashughulikiwa na mahakama (contempt to court)[emoji109]
Gharama za eviction zinatolewa na nani, mahakama/evicted person/mlalamikaji?
 
Imeisha .....wala asisumbuke Sana, maana hii order ( eviction notice) ikitolewa na mahakama afu akakaidi...tayari atashughulikiwa na mahakama (contempt to court)[emoji109]
Inaweza chukua muda gn hii Eviction order,!??
 
Mwezi Ulopita Nilinunua Nyumba 50M Kutoka kwa Mama Mmoja.

Tuliandikishana kwa Mwanasheria, lakini kipindi tushafanya malipo na tunaelekea kusaini mkataba wa mauziano aliomba apewe siku 2/3 za kujiandaa kutoka, binafsi sikuwa na shida nikamjibu tumalize hili la Kisheria tutazungumza. Tulimaliza mauziano kila mmoja akaenda na njia yake.

Ikaja wakati wa kujenga fence na ukarabati ndani, siku nimetua na mifuko yangu ya cement na vifaa vingine vya ujenzi wa fensi alinizuia nisiweke nyumba kubwa kwani hataki muingiliano na mafundi. Nikasema OK

Ikaja ishu nataka kuanza kupiga Tiles ndani nyumba kubwa, vifaa nshanunua nikamuomba nikute naanza vyumba ambavyo havitumii nako akagoma hataki muingiliano na mafundi, me nimsubiri muda wa mwezi akihama nifanye yangu. Nikasema OK vifaa nikamuomba nivihifadhi chumba nyumba kubwa akaniruhusu.

Ikaja nimekamilisha mageti ya fensi yanahitaji kuchomelewa umeme unatoka ndani kwenye main switch, akagoma napo ananikazia nisubir weekend atakayokuwa na nafasi au mpaka atakapohama.
Muda wa mwezi mmoja ninaomhesabia ni Feb 05,2022 ndipo atoke.

Msaada:
1. Hivi huu utaratibu kwake na kwangu ukoje kisheria mtu anapokuwa ameamua kuuza mali yake lakini bado anaing'ang'ania!?

2. Hivi anavyoonekana huyu mama tarehe hiyo ikifika anaweza kuhama kweli,!?? Na km akigoma nn naweza kufanya?

Ni mama ambaye haoneshi ushirikiano wowote toka tumalize mauziano

Kazi za Fensi zimesimama, za Tiles, za rangi, kifupi hakuna nachoweza kufanya kwenye huo mji kazuia mpaka aondoke
Sasa mmefikia wapi maana tarehe 5 February 2022 uliyoandika hapo ilishapita na leo ni tarehe 16 February 2022.
 
Documents zote zakisheria zipo pande zote, yeye ndie alimkabidhi dalali atafute mteja na ndio akanipata
Awali alitaka nipeleka kwa Mwanasheria anayemjua, me nikasema No. Yupo homboy
Hapo anakaa na mwanaye ambaye yuko myumba ya nje
Mtaa bado kuwapa taarifa coz wao hawasimaniii mauziano
Kiafya ya akili ni timamu kwa waliokuwa nae wanamjua yuko vzur
Hati ya Nyumba, Mkataba, Bank Slip ya malipo vyote ninavyo mkuu
Watu wa hivyo nafanya nao kazi za mahakama, kama una pesa yako usirudie tena kununua nyumba ambayo watu walishaishi na wewe ukaweka humo familiya yako. Huyo mama atachimbia humo madawa mtaishi kwa taabu sana.

Cha kufanya, file mahakamani eviction order, dalali atapewa order ya kumuondoa. Faler huyo hela kalipwa anakatalia nini?

Wahi usimpe nafasi ya kuchumbia humo madawa.

Nb ukinunua nyumba ya hivyo iwe ni ya biashara. Nyumba ya kuishi na familiya yako nunua tu kiwanja.
 
Back
Top Bottom