Nilimshauri amshukuru kulpa miezi minne ila badoo washenzi wanapigaa aisee kha m sinunuagi kabisaa kwao.Sasa si na riba juuu hapo yani mtu akuuzie kitu unalipa kidogo kidogo miezi 4 bado unalalamika kama ulikuwa na uhitaji ungeenda mwenyewe kuitafuta huko mlimani city kabla
Ilaa wanaibiwaaa hatareeee....kuna mdada.mmoja tegeta alichukua vituvya kama.laki nane akatanguliza lak3 kumbe anahama duka ndani ya huo mwezi aisee nilijisikia vibaya sema nkawaza nawao siwanapiga mwosha huoshwaWaturuki ndio zao..wanauza bei mara tatu zaidi kwa kigezo cha mkopo.
Ni sawa hakuna shida.Jamani mji mtamu huuu acha tu
kuna waturuki wanapita majumbani mwa watu....
sasa mdada mmoja hamad akapenda rice cooker inapika na nyama nk.. akambiwa lak 3 kwa mariposa yaa miezi 4
majuzi kapita mlimani City kakita ile ile 140,000 kilichomsaidia alipiga tu picha na bei iendelèe kumuumiza
jana anauliza nifanyeje br nkamjibu malizia kulipa alafu mwonyeshe hio picha na bei yake umshukuru kwa kukupa.miezi 4 ....badokidogo antupie chupa ya Fanta hhahahaa
Pole ya nini? Anataka kufosi cash ifanane na mkopo? Alisikia wapiPole yake
Hahahahahahaaaaaaaa mpwaaa waleeeewakoookikazi wakifika wanaakuwa kama wamewapiga upako wa mwamposa mkifunguliwa garilao bilahata kujua bei shushaaa ..wajanja lipakwanza 50k ...alafu n wavumilivu uzuriwaoNiliuziwa kwa mkopo masufutia yamo kwenye box kwa laki5 kufika nyumbani wife kakopeshwa same priduct na haohao jamaa, nikaja kuona same product inauzwa 1.5lak nlichoka
AlivyoumiaPole ya nini? Anataka kufosi cash ifanane na mkopo? Alisikia wapi
Zee la Mbezi kwa Zena Kawawa. Uko Migombani ai hapa hapa mjini? Tutafutane tulaze Makonyagi yetuJamani mji mtamu huuu acha tu, kuna waturuki wanapita majumbani mwa watu.
Sasa mdada mmoja hamad akapenda rice cooker inapika na nyama nk, akambiwa laki 3 kwa mariposa ya miezi 4.
Majuzi kapita mlimani City kakita ile ile 140,000 kilichomsaidia alipiga tu picha na bei iendelèe kumuumiza.
Jana anauliza nifanyeje bro nkamjibu malizia kulipa alafu mwonyeshe hio picha na bei yake umshukuru kwa kukupa miezi 4, bado kidogo anitupie chupa ya Fanta hhahahaa!
Haya mambo namwomba Mungu 2024 yasiwe kwenu kabisa lohJamani mji mtamu huuu acha tu, kuna waturuki wanapita majumbani mwa watu.
Sasa mdada mmoja hamad akapenda rice cooker inapika na nyama nk, akambiwa laki 3 kwa mariposa ya miezi 4.
Majuzi kapita mlimani City kakita ile ile 140,000 kilichomsaidia alipiga tu picha na bei iendelèe kumuumiza.
Jana anauliza nifanyeje bro nkamjibu malizia kulipa alafu mwonyeshe hio picha na bei yake umshukuru kwa kukupa miezi 4, bado kidogo anitupie chupa ya Fanta hhahahaa!