Adolph Jr
JF-Expert Member
- Nov 5, 2016
- 5,950
- 9,511
Shida raia wanadhani natania, kumbe nipo serious maana dar wajanja wengi haswa...Aisee Ukipata nistue na mimi nahitaji cha S 23 na cha S 10 plus
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida raia wanadhani natania, kumbe nipo serious maana dar wajanja wengi haswa...Aisee Ukipata nistue na mimi nahitaji cha S 23 na cha S 10 plus
Sema ni ghali mno niliuliza cha s23 nikaambiwa 750kShida raia wanadhani natania, kumbe nipo serious maana dar wajanja wengi haswa...
Hata Kariakoo ukienda kichwa kichwa unapigwa haswa, unakuja shtuka ushalipa. Madukani siku hizi vishoka wengi sana. Ili usipigwe hakikisha umepitia mitandaoni, kisha zama dukani afu linganisha bei zaoKabla ya kufanya manunuzi window shopping muhimu
Ova
Makao Yao makuuNa je vioo vya Samsung original viko wapi hapo dar?
Sasa ulitaka akopeshwe Kwa bei ya kuuza?Jamani mji mtamu huuu acha tu, kuna waturuki wanapita majumbani mwa watu.
Sasa mdada mmoja hamad akapenda rice cooker inapika na nyama nk, akambiwa laki 3 kwa mariposa ya miezi 4.
Majuzi kapita mlimani City kakita ile ile 140,000 kilichomsaidia alipiga tu picha na bei iendelèe kumuumiza.
Jana anauliza nifanyeje bro, nkamjibu malizia kulipa alafu mwonyeshe hio picha na bei yake umshukuru kwa kukupa miezi 4, bado kidogo anitupie chupa ya Fanta hhahahaa!
cash 200 tuUkishaambiwa mkopo jua bei itakuwa juu zaidi. Unapaswa kuuliza cash ni kiasi gani ili upime gharama ya ww kuchukua kwa mkopo.
Jamani mji mtamu huuu acha tu, kuna waturuki wanapita majumbani mwa watu.
Sasa mdada mmoja hamad akapenda rice cooker inapika na nyama nk, akambiwa laki 3 kwa mariposa ya miezi 4.
Majuzi kapita mlimani City kakita ile ile 140,000 kilichomsaidia alipiga tu picha na bei iendelèe kumuumiza.
Jana anauliza nifanyeje bro, nkamjibu malizia kulipa alafu mwonyeshe hio picha na bei yake umshukuru kwa kukupa miezi 4, bado kidogo anitupie chupa ya Fanta hhahahaa!
Hawa wanaotembeza bidhaa makazini kwa mikopo wanajua kuna watumishi ambao wako busy hawapati muda wa kuingia madukani hivyo wanauza bei za kitapeli hujawahi ona.Jamani mji mtamu huuu acha tu, kuna waturuki wanapita majumbani mwa watu.
Sasa mdada mmoja hamad akapenda rice cooker inapika na nyama nk, akambiwa laki 3 kwa mariposa ya miezi 4.
Majuzi kapita mlimani City kakita ile ile 140,000 kilichomsaidia alipiga tu picha na bei iendelèe kumuumiza.
Jana anauliza nifanyeje bro, nkamjibu malizia kulipa alafu mwonyeshe hio picha na bei yake umshukuru kwa kukupa miezi 4, bado kidogo anitupie chupa ya Fanta hhahahaa!
bora kununua mpyaSema ni ghali mno niliuliza cha s23 nikaambiwa 750k
Nimeamua kuendelea kuitumia hivyihivyo na mpasuko wake
S10 plus niliambiwa laki 3
Hapana jina huko makao makuuM
Makao Yao makuu
Google Samsung tanzaniaHapana jina huko makao makuu