Mapenzi Kudadenya
Member
- Apr 25, 2020
- 33
- 61
Naomba kuuliza wapi naweza kupata kava za kuvalishia godoro maan kava yake imetoka na kuwa uchi inasumbua kwenye kuhama 💔😂 nipo dar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili nalo ni la kuuliza? Hakuna mafundi cherehani hapo unapokaa?Naomba kuuliza wapi naweza kupata kava za kuvalishia godoro maan kava yake imetoka na kuwa uchi inasumbua kwenye kuhama 💔😂 nipo dar
Zinauzwa bei gani kiongoziIlala boma unapata kitu kipya utahama hata mchana
Jenga ili usihamehamegodoro maan kava yake imetoka na kuwa uchi inasumbua kwenye kuhama 💔😂 nipo dar