Ofisi za uvccm Dodoma zipo eneo gani?KAWAIDA AKIWASILI OFISI ZA MAKAO MAKUU YA UVCCM DODOMA
📍UVCCM TAIFA
16 Septemba,2024
Mwenyekiti wa UVCCM Taifa ndugu Mohammed Ali Kawaida (MCC) Akiawasili ofisi za makao makuu UVCCM Taifa kwa ajili ya kuongoza kikao Cha Kawaida Cha kamati ya Utekelezaji
#KijanaNaKijani
#TunazimaZoteTunawashaKijani
Halafu muislam. Ndio maana waislam tunatakiwa tusome dini yetuHuyu Mohammed Ali Kawaida, mwenyekiti wa UVCCM taifa, alidhihaki kifo cha ndugu Ali Kibao.
Tunamuachia Mungu.
Habari hii ina msaada gani kwa wananchi?KAWAIDA AKIWASILI OFISI ZA MAKAO MAKUU YA UVCCM DODOMA
📍UVCCM TAIFA
16 Septemba,2024
Mwenyekiti wa UVCCM Taifa ndugu Mohammed Ali Kawaida (MCC) Akiawasili ofisi za makao makuu UVCCM Taifa kwa ajili ya kuongoza kikao Cha Kawaida Cha kamati ya Utekelezaji
#KijanaNaKijani
#TunazimaZoteTunawashaKijani
Katibu mkuu wa UVCCM Taifa na ni Mjumbe wa Secretarieti ya CCM Taifa.Hivi Jokate ana cheo gani ndani ya chama?
Sawa kadaKatibu mkuu wa UVCCM Taifa na ni Mjumbe wa Secretarieti ya CCM Taifa.
Mimi bado siku zangu 47 hazijaisha,Huyu Mohammed Ali Kawaida, mwenyekiti wa UVCCM taifa, alidhihaki kifo cha ndugu Ali Kibao.
Na siku 7 tangu wazee wa Tanga wavunje chungu na kusoma KURJUAN zinakamilika kesho.
Tunamuachia Mungu.
Eeh! Mbona umewapa siku nyingi sana?Mimi bado siku zangu 47 hazijaisha,
Dogo, siyo kila kitu diniHalafu muislam. Ndio maana waislam tunatakiwa tusome dini yetu
Ahadi ya Gwajima kutujengea Chuo cha Ufundi na Udereva wa Boti Kawe,kisha kutupeleka vijana wa Kawe Uingereza tukimpa Ubunge iliishia wapi??ulikuwa ni mpiga debe wake mkubwa humu JF mwaka 2020😀na juzi kajifanya kufufua mtu Kanisani kwake😄Wasanii sana nyie watuKAWAIDA AKIWASILI OFISI ZA MAKAO MAKUU YA UVCCM DODOMA
📍UVCCM TAIFA
16 Septemba,2024
Mwenyekiti wa UVCCM Taifa ndugu Mohammed Ali Kawaida (MCC) Akiawasili ofisi za makao makuu UVCCM Taifa kwa ajili ya kuongoza kikao Cha Kawaida Cha kamati ya Utekelezaji
#KijanaNaKijani
#TunazimaZoteTunawashaKijani
View attachment 3097736View attachment 3097737
Habari hii ina msaada gani kwa wananchi?
Hiyo ni picha tu ukiikosea ku-attach inaonekana kama ni kushotoSalamu kwa mkono wa kushoto hii safii sana
Hiyo haionyeshi, hamna detailed info inatumikaje hapo. Once again nani anataka kujua?..wanawaonyesha jinsi ruzuku ya Billioni 13 lila mwezi inavyotumika na Ccm.
Bado tu hajafikisha miaka 40??Katibu mkuu wa UVCCM Taifa na ni Mjumbe wa Secretarieti ya CCM Taifa.