Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,523
- Thread starter
- #41
Usibadili maana wewe! Obama hapo anaonyesha heshima kwa kiongozi mkubwa kwake kiumri! African culture.
Dr Kawambwa anapigia picha magoti, ili apate huruma za wapiga kura. Kuna tofauti kubwa sana hapo, nadhani ni vizuri next time akili zako changanya na logic inayokuwepo!
Rev Mas
Dr Kawambwa anapigia picha magoti, ili apate huruma za wapiga kura. Kuna tofauti kubwa sana hapo, nadhani ni vizuri next time akili zako changanya na logic inayokuwepo!
Rev Mas
Hii jee? View attachment 14209
na hii View attachment 14210
Sio kwamba natetea, just saying msichague zakueka na kusema. Ila wakupigiwa magoti ni Mwenyezi Mungu peke yake.