Elections 2010 Kawambwa apiga magoti na kuomba kura kwa picha ya JK

Wadau hebu angalieni huyu baba na degree zake tatu huu ujinga anaoufanya hivi

sasa kama huyu anafanya hivi na sie walalahoi tutaishia wapi, nayaamini maneno ya Profesa wangu akiwa ananifundisha aliseama kuwa huyu jamaaa alishindwa kuandika Pepa yoyote tangu apewe hiyo PhD yake....kwa hali hii nashawishika kuwa yule Prof alikuwa sahihi
 
hahahaaa!kila mtu na style yake ya kuomba kura................wewe vipi! wivu tu wewe na huyo profesa wako!
 
Swala sio Profesa wangu, swala ni uhalisia, Huyu ni Dokta Kawambwa akimnadi JK.
 
unajua sio kila mwenye phd ana upeo wa kufanya mambo, wengine ni jina tu ila ukimweka darasani hajielewi wala hajitambui ndo maana anafanya such nonsenses
 
Kipo anachokitafuta zaidi!!!! unyenyekevu huo kwa kuomba utumishi? haingii akilini.
 

Watu wa tabia kama hii ni hatari zaidi ya ugomjwa wa ukoma.Rais mwenye busara hawezi kuwa karibu na watu wa sampuli hii!!
 
Watu wa tabia kama hii ni hatari zaidi ya ugomjwa wa ukoma.Rais mwenye busara hawezi kuwa karibu na watu wa sampuli hii!!

Haya tumpime huyu kama akipita akifanya hivyo basi tumeshapata jibu letu kuwa....
 
hahahaaa!kila mtu na style yake ya kuomba kura................wewe vipi! wivu tu wewe na huyo profesa wako!
Lakini kwa staili hiyo kwa mtu msomi kama yeye haiingii akilini badala ya kunadi sera anaanza kuigiza!
 

Rev Masanilo,
Ugonjwa wa Njaa si ule unaotibiwa kwa Chakula tu, kuna Njaa za aina nyingi na wakati huu wa Uchaguzi utaona Wagonjwa wakizuka kwa njia tofauti. Huyo mh. ni mmoja wa wengi.
 
Rev Masanilo,
Ugonjwa wa Njaa si ule unaotibiwa kwa Chakula tu, kuna Njaa za aina nyingi na wakati huu wa Uchaguzi utaona Wagonjwa wakizuka kwa njia tofauti. Huyo mh. ni mmoja wa wengi.

Njaa zanamna hii naomba Mungu aniepushe nazo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…