Leo hii bado siku 39 mashindano ya kombe la dunia yaanze huko bondeni. Ninachotaka ile kamati ya Waziri Kawambwa itueleze zile bilioni 12 za kuhamasisha utalii (wakati yeye si waziri wa wizara hiyo) wakati wa kombe hilo mpaka sasa:
1. Mipango na hali halisi wamefikia wapi
2. Ni kiasi gani wameshatumia na kufanyia nini
3. Nini tutarajie kutoka kwenye kamati hiyo
4. Wapi wameshindwa
5. Faida ya ujumla ya mpango huo
6. Mbona hutusikii timu yeyote kuja kwenye joto la Dar kufanya mazoezi? (kumbuka SA wakati huo ni kibaridi cha kufa mtu)
Wasije baada ya mashindano kumalizika ndio wanatuambia eti haikuwezekana.
Naomba kutoa hoja.
1. Mipango na hali halisi wamefikia wapi
2. Ni kiasi gani wameshatumia na kufanyia nini
3. Nini tutarajie kutoka kwenye kamati hiyo
4. Wapi wameshindwa
5. Faida ya ujumla ya mpango huo
6. Mbona hutusikii timu yeyote kuja kwenye joto la Dar kufanya mazoezi? (kumbuka SA wakati huo ni kibaridi cha kufa mtu)
Wasije baada ya mashindano kumalizika ndio wanatuambia eti haikuwezekana.
Naomba kutoa hoja.