Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,180
- 7,346
Nanukuu kutoka kwenye gazeti ka mwananchi
"...MATOKEO ya mtihani wa kidato cha nne uliofanyika mwaka jana yametangazwa. Watahiniwa 240,903 sawa na asilimia 60.6 wamepata sifuri, ...
Akitangaza matokeo hayo jana, Waziri wa Elimu Dk Shukuru Kawambwa alisema watahiniwa walikuwa 456,137..."
Hii 60.6% inatoka wapi?
Maana 240903/456137 x 100% = 52.8%
Nimeona hata baadhi ya vyombo vingine vya habari vimeripoti namba hizo hizo...
Someone to clarify?...
"...MATOKEO ya mtihani wa kidato cha nne uliofanyika mwaka jana yametangazwa. Watahiniwa 240,903 sawa na asilimia 60.6 wamepata sifuri, ...
Akitangaza matokeo hayo jana, Waziri wa Elimu Dk Shukuru Kawambwa alisema watahiniwa walikuwa 456,137..."
Hii 60.6% inatoka wapi?
Maana 240903/456137 x 100% = 52.8%
Nimeona hata baadhi ya vyombo vingine vya habari vimeripoti namba hizo hizo...
Someone to clarify?...