Kawambwa:Madai ya Walimu kulipwa kabla ya Julai

Kawambwa:Madai ya Walimu kulipwa kabla ya Julai

Kashi

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2013
Posts
897
Reaction score
745
Akizungumza katika kipindi cha Jahazi cha Clouds Fm tarehe 15-5-2014 ,Dr Kawambwa alisema fedha zimeanza kupelekwa kwa ajili ya kulipa walimu ili mwaka mpya wa fedha uanze bila madeni ya walimu.
My take:
Hii si mara ya kwanza kwa ahadi hii kutolewa,ni kwa nini inakuwa ngumu kutekelezwa?
 
Mshahara wa mwezi wa 4 walichelewesha sana na watu wameweza kuvumilia, ipo siku walim wataingia kwenye mgomo bila hofu yeyote ile.

Walipe madeni yetu bwana.
 
Mshahara wa mwezi wa 4 walichelewesha sana na watu wameweza kuvumilia, ipo siku walim wataingia kwenye mgomo bila hofu yeyote ile.

Walipe madeni yetu bwana.
Walimu wa tz kabisa? Wagome he he he nitabeba bango mie
labda wakenya waje watusaidie kugoma
 
Mwalimu kwa serikali ya CCM ni sawa na mfugo,umekula haujala basi,Walimu tuamke tuiondoe madarakani na walimu mnaweza kwani mna ushawishi na mko karibu sana na jamii!!
 
Mshahara wa mwezi wa 4 walichelewesha sana na watu wameweza kuvumilia, ipo siku walim wataingia kwenye mgomo bila hofu yeyote ile.

Walipe madeni yetu bwana.

Tatizo ni kwamba hawa viongozi wetu bado tu hawana utashi wa kumaliza madeni haya.Mbona hatujasikia kama wabunge wa BMK wanadai? Kwa nini Walimu tu na si Wanajeshi?.Wanahitajika kujitafakari upya,Mwl ni mtu muhimu sana katika maendeleo ya nchi.
 
Nafikiri hata walinu mujitafakari mchukue uamuzi mgumu 2015,vinginevyo mtaendelea kuwa masikini!!!
 
Walimu wa tz kabisa? Wagome he he he nitabeba bango mielabda wakenya waje watusaidie kugoma
Inashindikana nini, mie nawategemea hawa wanao maliza chuo kikuu, siku hizi wanaajiriwa wengi sana hivyo mgomo utawezekana tu.
 
Tatizo ni kwamba hawa viongozi wetu bado tu hawana utashi wa kumaliza madeni haya.Mbona hatujasikia kama wabunge wa BMK wanadai? Kwa nini Walimu tu na si Wanajeshi?.Wanahitajika kujitafakari upya,Mwl ni mtu muhimu sana katika maendeleo ya nchi.

Ninaamini, kama viongozi wataendelea na uzembe huu basi ipo siku kitanuka hapa tz.

Hivi sasa mgomo upo tunauita mgomo baridi, bado kidogo tu mgomo moto utakuja.
 
Inashindikana nini, mie nawategemea hawa wanao maliza chuo kikuu, siku hizi wanaajiriwa wengi sana hivyo mgomo utawezekana tu.
Labda kizazi cha walimu wa enzi za mkoloni std 4 na 7 kiishe
make wanatumia vyeti vya watu wakisikia mgomo wanawaza kibarua kitaota nyasi
huwa hawaungi mkono hata dakika 1
 
Labda kizazi cha walimu wa enzi za mkoloni std 4 na 7 kiishe
make wanatumia vyeti vya watu wakisikia mgomo wanawaza kibarua kitaota nyasi
huwa hawaungi mkono hata dakika 1

Evelyn Salt we mwalimu? Tuachie mambo yetu na sirikali tunajuana mfano sensa tuliendesha sisi, kwasasa homa ya Dengue tunapewa semina tukatoe elimu huoni faida tunazopata ni lukuki
 
Evelyn Salt we mwalimu? Tuachie mambo yetu na sirikali tunajuana mfano sensa tuliendesha sisi, kwasasa homa ya Dengue tunapewa semina tukatoe elimu huoni faida tunazopata ni lukuki
Thubutuuuu sensa iliopita wamefanya hadi ma bar maid walimu tupa kule
 
Labda kizazi cha walimu wa enzi za mkoloni std 4 na 7 kiishe
make wanatumia vyeti vya watu wakisikia mgomo wanawaza kibarua kitaota nyasi
huwa hawaungi mkono hata dakika 1

Hicho kizazi bado kidogo kuisha na kama bado wataendelea kuwepo basi wataingia mgomoni kwa lazima.
 
Evelyn Salt we mwalimu? Tuachie mambo yetu na sirikali tunajuana mfano sensa tuliendesha sisi, kwasasa homa ya Dengue tunapewa semina tukatoe elimu huoni faida tunazopata ni lukuki

Hizo semina wanapewa wanawake peke yao, kitu kingine, hiyo sensa mpaka itokee ni kila baada ya miaka 10, pili yanaopata hiyo nafasi ni wachache sana, haifaidishi wengi.
 
Ni suala la muda tu,tena kasi ya mabadiliko ni kubwa sana!

Kuna tcha mmoja ni mkuu wa shule ila hata cheti cha form four hana
huyu hata umshikie bunduki hawezi kugoma anajua kazi kaipata kimagumashi
 
Wanaume wengi hamnataki kujihusisha na mambo ya semina nadhani ni kutoaka na mfumo dume

Hizo semina wanapewa wanawake peke yao, kitu kingine, hiyo sensa mpaka itokee ni kila baada ya miaka 10, pili yanaopata hiyo nafasi ni wachache sana, haifaidishi wengi.
 
Wanaume wengi hamnataki kujihusisha na mambo ya semina nadhani ni kutoaka na mfumo dume

Ungesema mfumo dume umesababisha wanawake peke yao ndio waende kwenye semina ningekuelewa, kwenye pesa hakuna mtu anaejivunga kwakweli.
 
Back
Top Bottom