Kashishi yetu
JF-Expert Member
- Mar 22, 2014
- 3,509
- 3,741
Akizungumza katika kipindi cha Jahazi cha Clouds Fm tarehe 15-5-2014 ,Dr Kawambwa alisema fedha zimeanza kupelekwa kwa ajili ya kulipa walimu ili mwaka mpya wa fedha uanze bila madeni ya walimu.
My take:
Hii si mara ya kwanza kwa ahadi hii kutolewa,ni kwa nini inakuwa ngumu kutekelezwa?
rafiki yangu yupo bagamoyo anadai mishahara ya miezi mitano tangu tarehe 7 mwezi 3 mwaka 2010 hadi tarehe 31 mwezi wa 8 hadi leo, aliambiwa aandike barua ya kudai,akaandika bado pia hakulipwa,akaambiwa ajaze form akaenda akajaza miezi mitano imepita sasa tangu ajaze form hy hadi sasa hajalipwa, labda hl tamko la waziri litamsababisha nae alipwa sasa!!!