kawambwa: mkuu wa chuo cha ualim nachingwea ni mbakaji, fisadi wa pesa.... mtoeni

kawambwa: mkuu wa chuo cha ualim nachingwea ni mbakaji, fisadi wa pesa.... mtoeni

Pasco_jr_ngumi

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2010
Posts
1,802
Reaction score
283
Jamaa anaongoza kuwalazimisha na kufanya mapenz na wanachuo.... Kila binti mzur amefanya nao sex!! Yeye hawaz lolote, at age of 57 ni malaya anayefanyia ofsini, kwenye gari lake.,, nk


Kwenye ufisadi nadhani ndio anaoongoza na timu yake ya mwasibu na boharia.... Hawa ni vilaza failure!!! Hela za BTP ni wizi mtupu na wala haielezeki, aiseee huyu mtu utadhani ni Katuni
 
Back
Top Bottom