Kawaondoeni Askari wenu wa MONUSCO huko Goma (Kivu) Congo DR kwani Wakongo Wenyewe hawawataki tena

Kawaondoeni Askari wenu wa MONUSCO huko Goma (Kivu) Congo DR kwani Wakongo Wenyewe hawawataki tena

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
"Haiwezekani kila Siku Wakongo tunakufa hapa kwa Kushambuliwa na Waasi wa Mai Mai na hata wale wa M23 huku wengine Wakibakwa na Nyumba zetu Kubomolewa halafu Askari wa Kulinda Amani hawa wa MONUSCO wapo tu wanaangalia na hawatusaidii chochote. Wamekuja kutulinda Wakongo au Kukaa tu huku na Kunenepeana hovyo? Hatuwataki na tutaandamana bila Kuchoka mpaka warudi walikotoka na watuachie Congo DR yetu" Raia wa Congo DR

Taarifa: Nipashe ya Radio One Leo.

GENTAMYCINE naendelea Kusisitiza (na sijaitaja nchi yoyote hapa) kuwa nendeni mkawatoe Wanajeshi wenu Congo DR kwani Wenye nchi yao hawawataki tena na Wameshawashtukieni kuwa mnajifanya mnawapenda na Kuwalinda kumbe mnawaibia Rasilimali zao halafu mnaisingizia Rwanda wakati nanyi pia mnaiba vile vile tena zaidi kutokana na Urafiki wenu na Rais wa nchi yao.

Kama kweli nyie mnajifanya mnajua Kulinda Amani na mna Jeshi Kabambe na lililopikwa mbona hamuwoombi UN mwende Kulinda Amani Somalia ili ndani ya Wiki Moja tu mrejeshewe 'Viwiliwili' vya Wanajeshi wenu huku Vichwa vyao vikiwa vimebakia Somalia?

Na bahati mbaya sijui hata ni nchi gani ya Afrika imepeleka Congo DR Askari wake wa Kulinda Amani wanaounda hiyo MONUSCO, ila GENTAMYCINE nasema tu kuwa nendeni mkawatoe Askari ( Wanajeshi ) wenu kwani hawatakiwi Congo DR kwakuwa wapo wapo tu na wananenepeana hovyo kama 'Vitumbua' vya Mwananyamala kwa Kopa.
 
Monusco wakiondoka ndio watapata amani ?
Kawatoeni Wanajeshi wenu huko acha Kunipigia Kelele hapa. Mnawaibia Rasilimali zao na Kunenepeana hovyo kama Vitumbua.

Mbona hamjipendekezi kwenda Kulinda Amani Somalia? Wanafiki wakubwa nyie. Haya sasa Wakongo Wenyewe Wameshawashtukieni na hawawataki tena.

Ondokeni Kwao kwanini mnang'ang'ania?
 
Shida kubwa ya DRC sio hao askari watuliza amani shida ya DRC ni wakongo wenyewe over
Hata Askari ( Wanajeshi ) wenu pia ni Shida na sehemu ya tatizo. Kawaondoeni upesi hawatakiwi tena Congo DR na Wakongo Wenyewe sawa? Wezi wakubwa nyie......!!!!!
 
1658897904618.png


East Africa in wanajeshi 855 tu huko. Hii message peleka Asia
 
Mada nzuri ila kama kuna mwanasheria humu kuhusiana na askari hawa wa kulinda Amani atusaidie, kuna sehemu nilisoma kuwa askari hawa wana sheria zao kuhusu to engage kimapambano, ni lazima kwanza washambuliwe wao kwanza (wajihami),but sipo sure 100%,na ushauri wangu kama tuna askari wetu bora warudi nchini watulindie hizi porous border zetu hasa huku kusini hali bado tete
 
Akili zimewakaa sawa naona. Rebeeeer wanashambulia alafu ndege za MONUSCO zinaangalia tu. Wa Congo wamenichekesha sana jana. All in all matatizo ya ndoa yako hayatatuliwi na mchungaji au shekhe, mwisho was siku atamla mkeo.
 
M23 inawaonea DRC kwa vile TZ imenyamaza, ngoja tumwambie mama auwashe tena ule moto aliwawapelekea JK hadi wakapoteana kwa miaka 6.
 
M23 inawaonea DRC kwa vile TZ imenyamaza, ngoja tumwambie mama auwashe tena ule moto aliwawapelekea JK hadi wakapoteana kwa miaka 6.
Tanzania ndiyo nchi gani? Kumbe wao ndiyo wana Askari ( Wanajeshi ) Wao huko Congo DR wanaounda MONUSCO? Nasubiri mrejesho Wako tafadhali.
 
"Haiwezekani kila Siku Wakongo tunakufa hapa kwa Kushambuliwa na Waasi wa Mai Mai na hata wale wa M23 huku wengine Wakibakwa na Nyumba zetu Kubomolewa halafu Askari wa Kulinda Amani hawa wa MONUSCO wapo tu wanaangalia na hawatusaidii chochote. Wamekuja kutulinda Wakongo au Kukaa tu huku na Kunenepeana hovyo? Hatuwataki na tutaandamana bila Kuchoka mpaka warudi walikotoka na watuachie Congo DR yetu" Raia wa Congo DR

Taarifa: Nipashe ya Radio One Leo.

GENTAMYCINE naendelea Kusisitiza ( na sijaitaja nchi yoyote hapa ) kuwa nendeni mkawatoe Wanajeshi wenu Congo DR kwani Wenye nchi yao hawawataki tena na Wameshawashtukieni kuwa mnajifanya mnawapenda na Kuwalinda kumbe mnawaibia Rasilimali zao halafu mnaisingizia Rwanda wakati nanyi pia mnaiba vile vile tena zaidi kutokana na Urafiki wenu na Rais wa nchi yao.

Kama kweli nyie mnajifanya mnajua Kulinda Amani na mna Jeshi Kabambe na lililopikwa mbona hamuwoombi UN mwende Kulinda Amani Somalia ili ndani ya Wiki Moja tu mrejeshewe 'Viwiliwili' vya Wanajeshi wenu huku Vichwa vyao vikiwa vimebakia Somalia?

Na bahati mbaya sijui hata ni nchi gani ya Afrika imepeleka Congo DR Askari wake wa Kulinda Amani wanaounda hiyo MONUSCO, ila GENTAMYCINE nasema tu kuwa nendeni mkawatoe Askari ( Wanajeshi ) wenu kwani hawatakiwi Congo DR kwakuwa wapo wapo tu na wananenepeana hovyo kama 'Vitumbua' vya Mwananyamala kwa Kopa.
Tunajua akina skeleton na wezi wenzao waliopo upande wa drc Tunawabana kweli katika kutimiza wizi ni jukumu letu kawalinda majirani zetu,dhidi ya mhuni.
Wanaolalama ni Rwandese waliopo Drc unafikiri watu wamelala
 
Back
Top Bottom