dikteta2020
JF-Expert Member
- Aug 14, 2018
- 595
- 3,991
Wewe kweli mpumbavu. Hujamuona Lissu akipiga kura?Dada wa watu leo amekuwa kama gangwe..hoi.. kura zipi huku hana hata moja mkononi tuzione.. au zile mmemaliza mlizobeba copy.. muzingizie CCM?
leo wapi sherehe.. karibu hapa kijijini.. eti Lissu bae kashindwa kupiga kura kisa sio raia.. eeeeeeh makubwaaaaaaa
Magufuli baba laooooooooo π π π ππ
maneno ya humu hayana nguvu.. kila muntu munaandika kwa lolote tu.. hayo yamepitwa na upepo.. awamu hii imeonyesha Watanzania kuwa wazalendo.. JPM tano tena.. Hapa kazi ya tano tena.. ni kusaga meno tu.. [emoji172] [emoji169] [emoji172] [emoji169] [emoji172]
ndo ujue kama huo ni uzushi. hawasemi zimekamatwa wapi? toka asubuhi mdee anahangaika kueneza propaganda. nadhani amejua kama anashindwaHawakutakiwa kuzichoma moto. Sasa unachoma ushahidi.
Vitisho nyuma ya keyboard tena ukiwa na id fake ni kupoteza muda2020 - 2025 nchi haitawaliki, vyombo vya dola wanatakiwa wawe makini au lasivyo nchi inaharibika ndani ya muda mfupi sana.
Hatua inayofuata ni wananchi kuingia mtaani, kama mambo haya yataendelea.
Wananchi wa Kawe watazaa na huyo mcheza filamu za X wanaolazimishwa kupewa na CCM.
Wewe peke na familiar yako ndo mtaingia mtaani. Kisa cha kuumia nini. Utavunjwa miguu wewe, anayekutuma kuandamana kesho anashikana mikono na mpinzani wake.2020 - 2025 nchi haitawaliki, vyombo vya dola wanatakiwa wawe makini au lasivyo nchi inaharibika ndani ya muda mfupi sana.
Hatua inayofuata ni wananchi kuingia mtaani, kama mambo haya yataendelea.
Wananchi wa Kawe watazaa na huyo mcheza filamu za X wanaolazimishwa kupewa na CCM.
Usihukumu bila kufanya utafiti. Habari hii haina uhalisia.Huyu Gwajima halafu kesho-keshokutwa akahubiri kanisani. Ujinga mtupu hawa wanaojiita watumishi wa Mungu na makanisa yao.
Tatizo hufatilii mpuuzi wewe wakat wametaj walikokamata na kitambulisho Cha mpiga kura wamekamatando ujue kama huo ni uzushi. hawasemi zimekamatwa wapi? toka asubuhi mdee anahangaika kueneza propaganda. nadhani amejua kama anashindwa
Upumbavu ndio umekukaa hadi unauandika.. si ukae chini uule kabisa... leo ni leo.. utalii umeisha mwambie arudi kwao Belgium...Wewe kweli mpumbavu. Hujamuona Lissu akipiga kura?
Majungu hayo!Unajua nahisi wanaogopa wakibaki nazo inawezekana akapotea nazo sehemu akafichwa kisheria
mamako!Visingizio na maigizo ruksa
Haha haga haha jamaa wana jazba kweli[emoji38][emoji38][emoji38]mamako!
Hii fake.Wananchi wa Kawe wakichoma moto kura za maruhani zilizokuwa tayari zimeshapigwa kwa wagombea wa CCM. Mungu wabariki wananchi hawa
View attachment 1614622
View attachment 1614758
Ilitakiwa wazi hifadhi kama ushahidi, kuzichoma moto haikuwa uamuzi mzuri.Wananchi wa Kawe wakichoma moto kura za maruhani zilizokuwa tayari zimeshapigwa kwa wagombea wa CCM. Mungu wabariki wananchi hawa
View attachment 1614622
View attachment 1614758
Najaribu kuamini kuwa ni stori ya kupika, pia haikuratibiwa vzrHow can they destroy evidence!!!??
Kura za mbunge na Rais zinakwenda kuchanganywa Jimboni ndipo jumla inapatikana.Kwa hiyo hizo zinatafutiwa namna ya kuingizwa tu mahali husika. Kama tume imeweza kuzitoa nje ya mfumo wake, itashindwaje kuziingiza? Hiyo mbona kitu rahisi sana?Waongo tu hao kwenye kituo zitaingiaje.Halima huna chako ujaribu kuhadaa wananchi