Uchaguzi 2020 Kawe, Dar: Kura feki zanaswa, Wananchi wazichoma moto!

Uchaguzi 2020 Kawe, Dar: Kura feki zanaswa, Wananchi wazichoma moto!

Kura za mbunge na Rais zinakwenda kuchanganywa Jimboni ndipo jumla inapatikana.Kwa hiyo hizo zinatafutiwa namna ya kuingizwa tu mahali husika. Kama tume imeweza kuzitoa nje ya mfumo wake, itashindwaje kuziingiza? Hiyo mbona kitu rahisi sana?
Kura zinahesabiwa kituo cha kupigia tuu...
Ukifika kata mnajumuisha tuu.. kupitia fomu zile zile za mawakala... Hizo zinazokuwa feki unaziingiza wapi!?

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Ebu tuelezee hizi kura zimekamatajwe? Zimekutwa wapi na nani? Wahusika wako wapi? Ni akina nani? Zilikuwa za kituo gani?

Kutengeneza ka video tu na kuchoma vikaratasi watu walivyo chapisha wenyewe aimaanishi ndio ushahidi.

Sasa kuna mantiki gani ya kuwa na mawakala wa vyama huko ndani wenye jukumu la kuhakiki wanaojitokeza ili kujua tally ya kura kama zinalingana mwisho wa siku.

Ni mipango ya kitoto sijui CDM wanatafuta nini uchaguzi huu.
Kilaza kaa kimya huna jipya.
 
Back
Top Bottom