Uchaguzi 2020 Kawe, Dar: Kura feki zanaswa, Wananchi wazichoma moto!

Kura za mbunge na Rais zinakwenda kuchanganywa Jimboni ndipo jumla inapatikana.Kwa hiyo hizo zinatafutiwa namna ya kuingizwa tu mahali husika. Kama tume imeweza kuzitoa nje ya mfumo wake, itashindwaje kuziingiza? Hiyo mbona kitu rahisi sana?
Kura zinahesabiwa kituo cha kupigia tuu...
Ukifika kata mnajumuisha tuu.. kupitia fomu zile zile za mawakala... Hizo zinazokuwa feki unaziingiza wapi!?

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kilaza kaa kimya huna jipya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…