Sacrifice7
Senior Member
- Jun 5, 2024
- 149
- 146
Hehe.. mkuu usiteseke!Nipo hapa Kawe
Watu ni wengi sana hasa toka Mataifa ya mbali,
Roho inaniuma kuona Watanzania wanabeza hii madhabahu wakati wengine toka Mataifa ya mbali wameshaweka kambi hapa.
kwai wajinga ndio waliwao wako tanzania tuNipo hapa Kawe
Watu ni wengi sana hasa toka Mataifa ya mbali,
Roho inaniuma kuona Watanzania wanabeza hii madhabahu wakati wengine toka Mataifa ya mbali wameshaweka kambi hapa.
Nayeye anaombea piaHuyo mwamposa na yeye akitaka nyumba anaomba kwa Mungu then asubuhi anaikuta, au anadai waumini wamchangie sadaka ya pesa ili akajenge? Nijibu kwanza then nitafanya maamuzi ya kumbeza au kumkubali
Watu ni wengiNipo hapa Kawe
Watu ni wengi sana hasa toka Mataifa ya mbali,
Roho inaniuma kuona Watanzania wanabeza hii madhabahu wakati wengine toka Mataifa ya mbali wameshaweka kambi hapa.
PichaNipo hapa Kawe
Watu ni wengi sana hasa toka Mataifa ya mbali,
Roho inaniuma kuona Watanzania wanabeza hii madhabahu wakati wengine toka Mataifa ya mbali wameshaweka kambi hapa.
Wenzetu walishabarikiwa sababu ya kulitangaza neno la Mungu ulimwengu wote sisi kipindi hicho tupo na miungu feki yakina kinjekitileHamna ata kapicha tuone hao mataifa lakini mbona ulaya wamefanikiwa sana bila maombi
Alikuwepo TB Joshua na akaenda,,,,nothing new under the sunNipo hapa Kawe
Watu ni wengi sana hasa toka Mataifa ya mbali,
Roho inaniuma kuona Watanzania wanabeza hii madhabahu wakati wengine toka Mataifa ya mbali wameshaweka kambi hapa.
Anaomba Kwa Mungu ila anapewa kupitia Kwa waumini Kwa njia ya sadakaHuyo mwamposa na yeye akitaka nyumba anaomba kwa Mungu then asubuhi anaikuta, au anadai waumini wamchangie sadaka ya pesa ili akajenge? Nijibu kwanza then nitafanya maamuzi ya kumbeza au kumkubali